Lema, umelikoroga, rudi Canada kwanza ujifikirie

Hiyo hotuba aliandaliwa? Kama ni ndio basi hawampendi. Kama ni yeye basi arudi Canada akajipange namna ya kuongea.
 
We una uwezo wa kua argue na Mimi kweli
Akili ndogo huwa naipa nafasi ijiangamize yenyewe.
Na hujajibu hoja kwa nini mwanaiasa asiye na akili, amerudi tu anaanza kutukana masikini.
Halafu anategemea masikini hao wamwelewe au wampe kura 2025!
Huo ndo tunaita umburula!
 
Akili ndogo huwa naipa nafasi ijiangamize yenyewe.
Na hujajibu hoja kwa nini mwanaiasa asiye na akili, amerudi tu anaanza kutukana masikini.
Halafu anategemea masikini hao wamwelewe au wampe kura 2025!
Huo ndo tunaita umburula!
Lema akiri kubwa sana we popoma huwezi mwelewa kamwe
 
1. Kama ni kichaa, kinachokusumbua wewe kujibizana na kichaa ni kitu gani?

2. Lakini kikubwa kabisa ni hiki, hata wewe ni kichwa maji tu maana hukumwelewa na hutaweza kumwelewa Godbless Lema.

Alisema kazi ya bodaboda ni moja ya ishara (indicator) ya umasikini. Na umasikini ndugu yangu ni LAANA. Umasikini wa Tanzania ni WA kutengenezwa na CCM na serikali yao..

Hii ndiyo point ya Godbless Lema na Kwa hakika ameeleweka vyema kabisa

3. Sasa basi, Kwa kuhitimisha I can seriously say, kuwa, katika situation kama hii ambayo bodaboda wenyewe Kwa asilimia kubwa wamemwelewa GL, lakini wewe na kusoma kwako hadi form four division four unajifanya mjinga, huelewi, basi actually wewe Jidu La Mabambasi Kwa jina lako kabisa ndiye kichaa na chizi halisi!!
 
yupo sawa kabisa majitu kugonga raia mwenzake hayaogopi hata kwenye zebra, ndio majizi ya tatu mzuka, ndio wanaoharibu wake za watu na watoto wa shule. Ndio watumia na wasbazaji madawa ya kulevya wakuu.

NB: Ni kero zangu ninazoziona kwao sijui kwa mlengwa atakaye quote hapa...
 
Lema kalewa raha za Kanada, hivyo anataka watanzania tuishi maidha kama aliyo yaona huko Kanada!!!

Mzee Lema nakushauri waombe radhi waendesha bodaboda, hakika umewakosea sana kuwaita masikini.
Watu wa kaskazini walahidi(materialists),wanaabudu Mali/hadhi,akifika hatua flan anayoamini ni ya juu kimaisha Basi wa chini mtakoma
 
Kaja na matusi mapya ;
1.Washamba
2:Laaana
3:Mke wangu nitamkana akijiunga vicoba
3:Mimi ni mchagga
5:Arusha wanajielewa wanajua hata cafelate ni nini
Anayafyatua tu maneno hii inaitwa mtajuana wenyewe.
 
Kaja na matusi mapya ;
1.Washamba
2:Laaana
3:Mke wangu nitamkana akijiunga vicoba
3:Mimi ni mchagga
5:Arusha wanajielewa wanajua hata cafelate ni nini
Kwenu hayo ni matusi kumbe..!?
 
Kama unamjua mbunge wa Arusha 2025, tuambie na Ajaye ni nani!!
Mama for presidency till death. We huoni nchi ilivyo shwari? Furaha imeongezeka mara dufu. Bei ya vitu kushuka ni swala la mda mda tu. Subili vita ya Ukraine iishe vitashuka sequentially
 
Mama for presidency till death. We huoni nchi ilivyo shwari? Furaha imeongezeka mara dufu. Bei ya vitu kushuka ni swala la mda mda tu. Subili vita ya Ukraine iishe vitashuka sequentially
Presidency till death unamaanisha nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…