Lema: Waziri Kalemani alimpigia simu mkewe akimtaka kuwapa Polisi ushirikiano wa kuondoa kamera

Mfugale, Chamriho, Kilangi, Bashiru, Polepole, kijazi et al there must be something. Nyie hamuoni??
 
Hao "wahusika wasio na utaalamu" kwa nini hawajawahi kutafutwa??
 
Hebu isome Tena hiyo thread kuna mahali unajichanganya na ama hujarudia kusoma na umekimbilia kujibu! Mleta Uzi kaandika kuwa, kalemani alimpigia simu make wake akimuelekeza kuwapa ushirikiano wote wanaoutaka! Upo?
Tatizo liko kwenye kuelewa... Inaonekana huyu jamaa ni mzito kuelewa akisoma kitu..... Eti mke wa mbunge!? Pole ndugu barafuyamoto soma vizuri uelewe.
 
Na baada ya happ aliteuliwa Uwaziri
Alikua tayari ni waziri, ndiyo maana aliishi hizo nyumba za viongozi (nyumba za serikali) hapo area D. Nyumba yake ilikua karibu na nyumba ya Lissu na Naibu speaker Tulia Akson.
 
Alikua tayari ni waziri, ndiyo maana aliishi hizo nyumba za viongozi (nyumba za serikali) hapo area D. Nyumba yake ilikua karibu na nyumba ya Lissu na Naibu speaker Tulia Akson.
Kalemani tayari bado Tulia. Kitu kizito kinamnyemelea.
 
Kwa hiyo kila kifo ni adhabu.?
Jibu ni ndiyo. Kifo kama kifo ni adhabu iliyoletwa baada ya dhambi.

Hata huyo Lissu atakufa siku yake ikifika maana hata yeye pia ana dhambi zake. Mimi na wewe pia ipo siku tutalipia dhambi zetu.

Lakini mimi binafsi naweza kuishi mpaka siku atakaporudi tena Messiah sababu nimemwamini na kumtwisha zigo langu la dhambi.

Ukimwamini Messiah na kuzishika Amri zake, na kufanya yote kama alivyoagiza huwezi kufa na hata ukifa utaishi tena.
 
Uchunguzi uanze wauji tuwajue na wafikishwe kwenye vyombo vya sheria
 
Lema! Nakuamuru kwa jina la aliye juu, toka mafichoni, njoo nyumbani. Unajificha una kosa gani? Njoo ujieleze kieleweke.
 
Kama ni hivyo huyo Lema yeye amejuaje kama siyo uongo mkubwa,yani Kalemani ampigie simu mke wake halafu Lema ndiyo atoe hiyo taarifa na iaminike kweli?
CCTV ilikuwepo au haikuwepo kwa Kalemani?

RPC alisema au hakusema kuwa wameipata CCTV camera?

CCTV iliondolewa au haikuondolewa nyumbani kwa Kalemani?

CCTV inapoondolewa, inaweza kuondolewa bila ya mwenye nyumba kuwapa ushirikiano?
 
Mtu anampigia simu mke wake maongezi yao yeye ameyajuaje.
Mke wa Kalemani ndiye aliyewaambia majirani. Mke wa Kalemani alielewa kuwa camera yao imeondolewa kwa nia njema, ili wataalam wakawabaini washambuliaji. Ndiyo maana hakuona shida kuwaambia majirani.
 
uwongo mtupu, tupa kule!
 
naendelea kunywa supu, kabla ya mawio ukwelio utajulikana tu.
 
Mke wa Kalemani ndiye aliyewaambia majirani. Mke wa Kalemani alielewa kuwa camera yao imeondolewa kwa nia njema, ili wataalam wakawabaini washambuliaji. Ndiyo maana hakuona shida kuwaambia majirani.
Mke wa Kalemani atakuwa shaidi nambari moja kwa kesi ya Lissu upande wa mashtaka, ipo siku tu yote yaliyo sirini yataanikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…