Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simply aliyemfanyia haya Lissu cha moto anakiona maana walioenda ilikua nikutekeleza order tu, mtoa order aliumwa kimya kimya wakaficha kama walivyowaficha washambuliaji wa Lissu, aliumwa mpaka akafa bila hata dua njema, hii inadhiirisha Mungu yupo na kila jema na baya tunalofanya litahesabiwa na kutunukiwa au kuadhibiwa chaguo ni letu.
Akili ya kawaida tu ya mambo ya plottting yoyote ya assassination, waziri ampigie simu mke wa mbunge kumtaka afanye kitu fulani ili kuwezesha kitu fulani? Hapa nionacho ni lema ni dumb zaidi ya nilivyodhan
Shetani kwa hiyo ameshakufa kwa mjibu wa mungu wako?Cha magufuli ni adhabu ndio shetani yule
Simply aliyemfanyia haya Lissu cha moto anakiona maana walioenda ilikua nikutekeleza order tu, mtoa order aliumwa kimya kimya wakaficha kama walivyowaficha washambuliaji wa Lissu, aliumwa mpaka akafa bila hata dua njema, hii inadhiirisha Mungu yupo na kila jema na baya tunalofanya litahesabiwa na kutunukiwa au kuadhibiwa chaguo ni letu.
Jamani kiswahili kigumu, aliyepigiwa simu ni mke wa Waziri Kalemani na si mke wa Lema,Kalemani na Lissu waliishi block 1 kutokana na nafasi zao kimamlaka,wakati Lema hakua na hadhi ya kupewa nyumba za serikali.Ndio maana mama Samia aliwaambia akina Lema kuwa mwanausalama yeyote wa Tanzania asingeweza kushinda kumuua Lissu hata kwa risasi 3 tu, na ingetokea kibarua kingeisha siku hiyo! Sasa Lema eti ushirikiano anaombwa mke wake tena wa kuzima kamera na kuacha geti wazi na kufungia mbwa wote ndani! Tena maelekezo yanatokewa kwa njia ya simu ambayo kuirekodi hata mtoto wa chekechea anaweza!
Kwani wewe ndio utakuwepo kenge wewe wazazi wako na ndugu zako nao watakuwa wameisha kufa uliishi kwa pumzi ya mwendazake zake umemwacha TL anaishi mnatapatapa pambafu.Lisu naye atakufa. Kwenye uchahuzi wa 2025 Lissu atakuwa amesha oza kwenye kaburi lake. Nakuahidi.
Ukila tunda hili hakika hautakufa shetani alisikika akisema,, yule mama alikula tunda ndo ulikuwa mwanxo wa kufa kwa mwanadamu ,, hivyo basi Kila nafsi itayaonja mauti ,, kila mwanadamu atakufa na kurud kwa mwumba kwa ajili ya kusubri hukumu AhsanteLema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Jamani kiswahili kigumu, aliyepigiwa simu ni mke wa Waziri Kalemani na si mke wa Lema,Kalemani na Lissu waliishi block 1 kutokana na nafasi zao kimamlaka,wakati Lema hakua na hadhi ya kupewa nyumba za serikali.
Anayetajwa kumpigia mke wake simu ni waziri. Waziri aliwasiliana na mke wake yeye kama yeye na siyo kuwasiliana na mke wa mtoa taarifa.
Kifo ni adhabu, mshahara wa dhambi ni mautiKwa hiyo kila kifo ni adhabu.?
Basi kila mmoja ataipata hio adhabu.!Kifo ni adhabu, mshahara wa dhambi ni mauti
Huyu mjinga Lema ameshajua wafuasi wake ni nyumbu na kwamba anaweza kuongea chechote wakaamini.
Dhambi aliyofanya Adam ilileta mauti hadi leoBasi kila mmoja ataipata hio adhabu.!
Even infants.
Sawa.Dhambi aliyofanya Adam ilileta mauti hadi leo
Mbona hii imo humu JF kwa miaka ! Lema alitamka haya bungeni mbele ya Spika na yako kwenye HansardLema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Huyo alikua anapima upepo tu hana lolote.Sasa mkuu sababu ya kutuaga wanaJF ilikuwa nini? And nini kimekurudisha humu?
Haki na ukweli vina tabia ya kuchelewa tu, kila kitu kitakuwa wazi Kama tupu ya mbuzi.Ndgu Jpm hayupo duniani kwanini bado mnamuongea sana.
Mkuu mm mwenyewe nimefurahi kukuona tena, hatujuani lakini nilisikitika sana kusoma lile bandiko lako la kutuaga.Lema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Ndgu Jpm hayupo duniani kwanini bado mnamuongea sana.