Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kalemani ni Mbunge wa Chato alikua mtiifu kwa Marehemu Pombe hadi kwenye matukio ya mauaji akiamini Mzee Pombe ni Mungu ataishi Milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuita mimiKwani lema ndiye kajiita propagandist?
SijakuelewaLema ni muhuni na Propagandist aliebobea. Ni miongoni mwa Magaidi. Alifaaa kujulishwa na Mboe.
Lema ilipendeza na yeye sahii awe nyuma ya Nondo.Sijakuelewa
Hitler iddi amini wanaongelewa mpaka keshoNdgu Jpm hayupo duniani kwanini bado mnamuongea sana.
Kumbe.Lema ilipendeza na yeye sahii awe nyuma ya Nondo.
Leo JPM hayupo, hakuna anayeishi maisha yake. .
Lema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Mboe yupi tena bwasheeLema ni muhuni na Propagandist aliebobea. Ni miongoni mwa Magaidi. Alifaaa kujulishwa na Mboe.
Ndgu Jpm hayupo duniani kwanini bado mnamuongea sana.
Lisu naye atakufa. Kwenye uchahuzi wa 2025 Lissu atakuwa amesha oza kwenye kaburi lake. Nakuahidi.Simply aliyemfanyia haya Lissu cha moto anakiona maana walioenda ilikua nikutekeleza order tu, mtoa order aliumwa kimya kimya wakaficha kama walivyowaficha washambuliaji wa Lissu, aliumwa mpaka akafa bila hata dua njema, hii inadhiirisha Mungu yupo na kila jema na baya tunalofanya litahesabiwa na kutunukiwa au kuadhibiwa chaguo ni letu.
UnaemjuaMboe yupi tena bwashee
Lema ni muuaji. Anjua kuwa yeye anatuhumiwa na kesi ya uuaji. Alikijua hilo ndiyo maana amekimbia.Lema ni muhuni na Propagandist aliebobea. Ni miongoni mwa Magaidi. Alifaaa kujulishwa na Mboe.
Ndiyo maana waliofanya ushenzi huu washaanza kufa mmoja baada ya mwingine. Na bado!Lema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Unaweza kutangulia wewe, Muombe Mungu, not fair statementLisu naye atakufa. Kwenye uchahuzi wa 2025 Lissu atakuwa amesha oza kwenye kaburi lake. Nakuahidi.