Lema: Waziri Kalemani alimpigia simu mkewe akimtaka kuwapa Polisi ushirikiano wa kuondoa kamera

Lema: Waziri Kalemani alimpigia simu mkewe akimtaka kuwapa Polisi ushirikiano wa kuondoa kamera

Kifo kwa Magufuli ni adhabu tosha. Magufuli alikua laana ya Taifa yaani Shetani. Alikufa kama firauni viungo vya mwili waziiii. Yaani macho mdomo mpaka TIGU waaaziiii. Sasa kaliwa na funza hukoo. BLADFAKEN MWENDAZAKE.
asingekufa ili ajutie akiwa hai. watu kama hawa kuna adhabu nyingi wanatakiwa kupigwa na adhabu wakiwa hai ili kuwa mfano
 
Kwamba mke wa Lema na Kalemani wanafahamiana kiasi cha kila mmoja kuwa na namba ya simu ya mwenzake?

Ilikuwa ni simu ya amri au ombi?
 
Lema kupitia space anasema

"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema

Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.

Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
kama ni kweli mke wake ni juha.
 
Ndio maana mama Samia aliwaambia akina Lema kuwa mwanausalama yeyote wa Tanzania asingeweza kushinda kumuua Lissu hata kwa risasi 3 tu, na ingetokea kibarua kingeisha siku hiyo! Sasa Lema eti ushirikiano anaombwa mke wake tena wa kuzima kamera na kuacha geti wazi na kufungia mbwa wote ndani! Tena maelekezo yanatokewa kwa njia ya simu ambayo kuirekodi hata mtoto wa chekechea anaweza!
 
Lema kupitia space anasema

"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema

Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.

Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Unaandika ukitokea wapi?
 
Lema ni muhuni na Propagandist aliebobea. Ni miongoni mwa Magaidi. Alifaaa kujulishwa na Mboe.
Mmepoteza lengo na nchi imemshinda mama yenu anakaa kubambikiza watu kesi. Kama Mbowe kashiriki kuua viongozi basi tuna usalama wa hovyo sana kuwahi kutokea.
 
Mmepoteza lengo na nchi imemshinda mama yenu anakaa kubambikiza watu kesi. Kama Mbowe kashiriki kuua viongozi basi tuna usalama wa hovyo sana kuwahi kutokea.
Kwa hiyo unamsifu Mboe na Genge lake.!
 
Simply aliyemfanyia haya Lissu cha moto anakiona maana walioenda ilikua nikutekeleza order tu, mtoa order aliumwa kimya kimya wakaficha kama walivyowaficha washambuliaji wa Lissu, aliumwa mpaka akafa bila hata dua njema, hii inadhiirisha Mungu yupo na kila jema na baya tunalofanya litahesabiwa na kutunukiwa au kuadhibiwa chaguo ni letu.
Kama ilivyo kwa mbowe sasa nae atawajibika siku si nyingi.
 
Lema kupitia space anasema

"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema

Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.

Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Kumwamini Lema ni upungufu wa akili
 
Nani amesema kifo cha mwendazake ndio kifo cha kila mtu?
kuporwa miaka yake iliosalia kutawala na Mwenyezi Mungu sio Adhabu tuu ni Adhabu kubwa sana kuliko hata alivyostahili.
💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽
 
Ili kudhihirisha kauli yako hii, tunaomba utupe ukweli wa nani aliondoa cctv camera kwenye nyumba za serikali? ili tuweze kumuaibisha Lema.
Hao legacy ya Mwendawazimu wnajiongeresha kama wamekatwa kichwa.
Wasikupotezee muda..
 
Back
Top Bottom