Ni aibu sana, mtu kuona sifa kwa kupata hadhi ya ukimbizi huku kwa kutokujua watoto wake au yeye mwenyewe wanaweza kutumika katika majaribio ya kibailojia ama kikemia dhidi ya nchi alipozaliwa,; na haya huwenda yakanywa na nchi mtu huyo alipokimbilia!!! Huu ni ubinafsi uliopitiliza na hauvumiliki