Lemutuz aombwa kuwa makini na Hamisa Mobetto.

Status
Not open for further replies.
Kumbe nawe unajua yule jamaa jina lake bashite hahahah ila akisimama kwa watu anajiita makonda [emoji23][emoji23][emoji23] mwambie kolomije tunamsalimia aje na misibani asiwe anakomea mjini tu anatuma watu

- Ok zimeshafikia page 10 kama kawaida yangu naomba kuretire hapa, maana kazi nyingi sana hapa Studio U know

le Mutuz
 
Naona umecoment like polepole.
 
- page yangu ina followers 500K huenda inaongoza kwa malipo ya matangazo, tatizo sio followers wengi ila ni quality na status ya wanaokufollow

le Mutuz
Mkuu kwenye suala la quality na status ya followers most of your followers are FOOLS and that's why ukiandika upuuzi mfano wa kumsifia Bashite wanakushangilia tu...!!
U don't have quality followers at all na ndio maana any broad and brave mind ikijitokeza na kuhoji chochote kwenye page yako unaiblock..!!
Kwasababu u don't want challenge.
Get to know ur IG page is equipped with fools.
U can't compare your IG page na ya Mange au Millard Ayo at all. Page za hawa zina watu wenye akili sana.
 
Watz watu waajabu sn
 
- ndio kwanza tumeanza hatuna haraka maana hawaji mbio mbio kazi kwanza, tayari tuna sponsors so hatuna haraka

le Mutuz
Mkurugenzi,mheshimiwa sana,naomba kazi kwenye kampuni yako,baba uliyekaribu na waridi la benk kuu,ahsante sana baba le MUTUZ
 
Humwezi wala huwezi kulingana nae umekaa ughaibuni maisha yamekushinda umerudi bongo unaanza kuwa mnusa makalio ua wanaume wenzako shame on u,..... sijui kwanini hata hawakuambii
Hivi yule kahaba mange anakitu gani chakumshinda huyu lemutuz?Acheni ushabiki maandazi nyie
 
- Kwenye haya matusi unakosea sana maana sasa unamkumbusha Mange aliyofanyiwa marehemu Baba yake, imagine wewe mtu akukumbushe mabaya aliyofanyiwa baba yako ambaye ni marehemu?

le Mutuz

Mkuu sawa Mimi simuongelei Mange,

Nakuongelea wewe jinsi wanavyopekenyua hayo makota ili kuufikia mndukuzi,

Ila watu wana roho ngumu hiyo harufu wanayokutana nayo huko dah.

- hahahahahahaa mbona unawataja wababe wa vita tena? hahahahahaha

le Mutuz

Kwahiyo kumbe unamtambua bashite sio

- Sawa ila ninasema cha msingi ni kulekezea hayo matusi kwa muhusika yaani Mange ambaye baba yake marehemu ndiye aliyefanyiwa na mashahidi wapo, au nakosea?

le Mutuz

Mange hayupo hapa kwani yeye ndo chanzo cha kuchokonolewa?


Aisee

Hivi lemutuz na Mange mlitofautiana kitu gani maana imekuwa vita Kali na naona siku hizi hata Mange akiwa team kiba lemutuz team mond. Saizi Mange anamsapoti aslay hutamuona lemutuz akimsapoti aslay

Waliungana kwa zamaradi mketema tu

Hivi yule kahaba mange anakitu gani chakumshinda huyu lemutuz?Acheni ushabiki maandazi nyie

Kwanini unawafananisha?

Yule mwanamke huyu mwanaume
 
Hiyo mimba itaingia wakati baba hasimamishi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…