Lemutuz na instagram

Status
Not open for further replies.

Labda ana maana ya kuwa member wa JamiiForum ndo usomi wenyewe maana kila kitu kipo humu!
 
Subirini, nimesikia vishindo, naona Lemutuz ndo anakuja
 

acha kukurupuka dogo,umefatilia huu uzi na zingine anazochangia au umeamka usingizini?
 

usidandie treni kwa mbele utagongwa.
 
by Zogwale;
Lemutuz ana miaka.mingapi tafadhali. Kuna kipindi alikuwa 52.


Zogwale, le mbululaz ana miaka sawa na wema sepetunga kwa sasa! mbebez wa ukweeeli..u know!
 
Last edited by a moderator:
by Zogwale;
Lemutuz ana miaka.mingapi tafadhali. Kuna kipindi alikuwa 52.


Zogwale, le mbululaz ana miaka sawa na wema sepetunga kwa sasa! mbebez wa ukweeeli..u know!

Mhh watu mna utani jamani.
 
Last edited by a moderator:
Le Mutuz akisema yeye ni star, King of Soacial Networks mnakataa huku mkisahau kwamba haupiti mwezi bila wadau hamjaleta post kuhusu Le Mutuz! For what I know, hakuna mwingine ambae huwa anajadiliwa sana humu zaidi ya Le Baharia!!! Najua wapo wataosema hamumjadili kwa mazuri bali mnam-dis... kama ndivyo mbona hamumjadili Baba ake Dully Syke ambae ni mkubwaa ( and in fact, ni mzee) kuliko Le Mutuz lakini mambo yake ni kama Le Mutuz!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…