MAANA PANA YA HUKUMU YA LEO
Nini maana ya hukumu hii ya kihistoria dhidi ya aliyekuwa mkuu wa wilaya Lengai Ole Sabaya baada ya kukiri kosa, kutiwa hatiani na kupewa adhabu ya kulipa faini na kuachiwa toka magereza kwa masharti.
Sasa mkuu huyu wa wilaya wa zamani hataweza kuteuliwa kushika nafasi ktk ofisi ya umma wala kugombea nafasi ya kisiasa kutokana na kupatikana na hatia kesi yake ilipokuwa inasikilizwa.
5 Apr2023
#BREAKING: SABAYA AACHIWA HURU BAADA ya KUSOTA MAHABUSU MIAKA 2...
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, leo April 5, 2023 ameachiliwa huru na mahakama baada ya kufutiwa mashtaka saba yaliyokuwa yakimkabili, ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu. Mahakama imetoa uamuzi wa Lengai Ole Sabaya kulipa kiasi cha shilingi milioni 5 kama fidia kwa mwathirika na hapaswi kufanya kosa lolote la jinai kwa muda wa mwaka mmoja
God is good all the time
Ni kweli mkuu lakini kwenye sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kf no 194 Act R.E 2022 kuendelea wameorothesha makosa ambayo hayana ple bargaining soma utaelewa mkuuWadau nawasabahi.HATIMAYE DC MSTAAFU wa Hai GEN.SABAYA yupo HURU pamoja na Kesi zote 3 kumkabili na AMEZIMALIZA kwa KUKIRI MAKOSA kwa DPP na KUACHIWA HURU kwa STAILI ya PLEA BARGAINING.
Sasa nimeamini UKIFUNGWA TANZANIA ni UZEMBE wako.Moja ya Makosa ya GEN SABAYA ni KUONGOZA GENGE la UHALIFU kwa kutumia SILAHA kosa ambalo ni KUBWA lakini AMEKIRI na kuachiwa HURU.Watanzania Tutarajie MAJAMBAZI Mafisadi Wahujumu Uchumi Wauza Madawa hakuna ATAKAYEFUNGEA kwa Mtindo huu wa "PLEA BARGAINING"
Narudia tena UKIFUNGWA TANZANIA ni UZEMBE WAKO kwani PLEA BARGAINING ni OFFER kwa WAHALIFUView attachment 2577410
Huyo bagamoyo hana akili. Mbowe mwenyewe alitiwa hatianiHivi Deo Mwanyika mbunge wa Njombe hakuwahi kuitiwa hatiani na mahakama katika ile kesi ya Makinikia akiwa makamu wa Rais wa Acacia?
Watu bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lazime apige ukungaLeo mke wa Sabaya kazi anayo aisee..
Mbakaji wenu yupo mtaani andaeni vijambio hivyoHapo hata mm sijaridhika. Lkn nadhani kesi bado inaendelea kaachiwa kwa maana ya kupewa dhamana baada ya makosa ya uhujumu uchumi kufutwa ambayo kisheria hayana dhamana. Kinyume na hapo itakuwa ni dhuluma kwa waathirika.
Team gaidi watakula hii pasaka kwa maumivu sanaTeam gaidi wameumia sana, kiboko yao karudi mtaani... Show show.
Endelea kujifarijiUko sahihi mkuu. Kesi bado inaendelea kaachiwa kwa maana ya kupewa dhamana baada ya makosa ya uhujumu uchumi kufutwa ambayo kisheria hayana dhamana.
Sasa wasioujua kusoma na wakrupukaji wanapotosha.
Ni vizuri kabisa amakiri kwa kinywa chake kuwa yeye ni jambazi so yale mambo ya uteuzi ndiyo kwisha habari.Nice
Huyo wakili atakuwa ICUWakili msomi amesema Lengai Ole Sabaya baada ya kuachiwa huru na mahakama ,sasa kisheria yuko huru kugombea na kushinda kuwa mbunge wa Hai au kuteuliwa kuwa kiongozi yoyote.
Sabaya kisheria hana kikwazo chochote cha kuwa kiongozi.View attachment 2577499
tunaomba ateuliwe awe mkuu wa mkoa kwa DSM kwa kuanzia huku akiandaliwa kuwa Waziri Mkuu 2025.Wakili msomi amesema Lengai Ole Sabaya baada ya kuachiwa huru na mahakama ,sasa kisheria yuko huru kugombea na kushinda kuwa mbunge wa Hai au kuteuliwa kuwa kiongozi yoyote.
Sabaya kisheria hana kikwazo chochote cha kuwa kiongozi.View attachment 2577499
SABAYAA atagombea Jimbo la hai na atamgaragaza kaka yuleWakili msomi amesema Lengai Ole Sabaya baada ya kuachiwa huru na mahakama ,sasa kisheria yuko huru kugombea na kushinda kuwa mbunge wa Hai au kuteuliwa kuwa kiongozi yoyote.
Sabaya kisheria hana kikwazo chochote cha kuwa kiongozi.View attachment 2577499
Hajahukumiwa na kufungwaWakili msomi amesema Lengai Ole Sabaya baada ya kuachiwa huru na mahakama ,sasa kisheria yuko huru kugombea na kushinda kuwa mbunge wa Hai au kuteuliwa kuwa kiongozi yoyote.
Sabaya kisheria hana kikwazo chochote cha kuwa kiongozi.View attachment 2577499