Lengai ole Sabaya akutwa na ukwasi wa Tsh. Bilioni 3 baada ya kupekuliwa

Dah..mzalendo mchapakazi aliyefananishwa na hayati Sokoine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu DC apelekwe mahabusu Kwanza ili uchunguzi upitie na kupata taarifa rasmi,anapokuwa huru ataharibu Kila kitu kwa wtz hawakubali kushindwa.
 
Udini umetabaruki kila kona nchi hii,Maroli yote Ni waislamu,tumechoka tunataka equality.
 
Si Alikuwa na mshahara?
Mshahara wa milioni 5 kwa mwezi ndiyo ukufanye umiliki bilions!! Hata ujitetee kufanya biashara, bado siyo kazi nyepesi kuzikamata hizo bilions ndani ya muda mfupi.

Only through fraud, embezzlement, corruption, piracy, plundering, looting, robbery, etc can be possible!
 
Hizo taarifa za gazeti sio rasimi,mpaka polisi waseme kuwa wamepekua ndani na wamekutana na vitu furani,kumbukeni ni juzi tu taarifa za kigogo mmoja zilisambaa kuwa amekutwa na fedha nyingi na fedha za nje Dola 150.lakini polisi ilikanusha na wanasema tuzipuuze hizo taarifa.
 
Raia mwema limekuja ki propanga Zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…