Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Mkuu kwahiyo ulitaka Sabaya aachiwe ?


Tumemaliza la Sabaya twende kwa mbowe Sasa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Eti na mchumba! Kweli katia aibu sana!
 
Huyo mchumba sasa alilipa mahari kwa fedha alizopora kwa MBOWE, sasa amfuate sponsa wake , si alitumwa bhana!

Huyo mchumba yupo huru kutafunwa na mtu mwengine, maana kifungo cha zaidi ya miaka 5 ndoa hamna, amevuna alichopanda.
 
Kuna siku alimkosakosa binti mmoja msanii usiku wa manane ...kama si ukomavu wa wenye ile hotel kukomaa kumtoa aisee dogo angeliwa mzigo...

Jamaa alikuwa mafia.
 
Sabaya amebaka watu na kurekodi video.
Mjinga sana huyu mtoto wa Magufuli.
Bashite yupo Afrika kusini huko kakimbia, arudishwe ashitakiwe amefanya mabaya zaidi ya Sabaya .
Daud Bashite alimteka MO , msanii Roma, blackmail kuwabambikia kesi za unga watu mbalimbali kuwachukulia mali zao pesa huku akikamata Unga na kuwapa Le mutuz kwenda kuuza South Africa na china, alikwenda Dodoma akiwa na Cyprian Musiba, nyaulingo, Heri kisanduku, Le mutuz na wasiojulikana wakamshambulia Tundu Lisu kwa risasi, kwa kifupi Bashite makonda alitakiwa awe jela mpaka mda huu
 
SASA TAASIS ZIKO HURU KUTOA HUKUMU KWA HAKI, TUNASHUKULU.. ILA PIA KAMA ZIKIFANYA HAKI NA KWA YULE JAMAA BASI TUSIONE NONGWA
Kama pakiwepo na ushahidi wa wazi wa kumtia hatiani kama ilivyokuwa kwa Sabaya hakuna ambae atalalamika, lakini ikiwa kinyume chake, wapenda haki duniani kote lazima wapige kelele.
 
Hakika cheo ni dhamana, Bashite nae amulikwe alijisahau sana yule jamaa!
 
Roho ya ukatili kama ile inasaidia nini? Sidhani kama alitumwa. Alikuwa anajiipa cheo ambacho wala hakikuwepo
 
Bado unaota?
 
Huna sababu za kumuonea Ole sabaya kwa matendo yake maovu aliyoyafanya. Sidhani kama wewe ndio ungekuwa bwana saad aliyevamiwa na silaha dukani kwake na kuporwa fedha ungekuwa na huruma na huyo jambazi. Halafu kusema kuwa alitumwa na wakubwa zake huo ni upuuzi mwingine ambao hampaswi kuuamini. Kwani si wapo madarakani sasa mbona wasimtoe kama walimtuma? Inauma lakini anastahili kulipia matendo yake.
 
Mungu amjalie mh hakimu kwa kutenda haki. Sabaya hata Lumumba mumteeje alikwa na roho ya shetani hata kama alikuwa anatumwa alitakiwa achanganye na za kwake.

Na wewe unaamini alikua anatumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…