Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

IMG_20211015_182417.jpg
 
Alitii mamlaka iliyompa madaraka. Si ndio walikuwa wanasema hivyo?. Mamlaka zingine za kuonea watu sio sahihi. Amehukumiwa sawa na matendo yake
 
Roho ya ukatili kama ile inasaidia nini? Sidhani kama alitumwa. Alikuwa anajiipa cheo ambacho wala hakikuwepo
Kama hakutumwa kwa nini mamlaka ya uteuzi yaani Mwendakuzimu jiwe alimkalia kimya? akamuacha akatenda uchafu wooote huo? Mara ngapi baadhi ya watendewa wa vitendo wamelalamika na Mwendakuzimu alipuuzia tu?
 
Thamani ya Mbowe ni kubwa haifanani na ya Sabaya kama ingekuwa hivyo ilibidi CCM watafute mtu wa kumning'iniza na kwa sababu CCM ni kama ukoo wa panya ingefaa awe Kinana huyu wafufue ile kesi yake ya pembe za ndovu wamfunge.

Aliwahi kuwa katibu mkuu nadhani.
 
Huu mchezo umekaa kimkakati sana.
Bado naamini jamaa atatoka.

Kuna watu wanabeba credit for now. ! Tukisahau atarudi mtaani soon.
Kingai mahita wapo mbioni kumsaidia Sabaya kwenda kuishi msumbiji mpaka mda wa hukumu ukimalizika arejee Tanzania
 
Haki emetendeka, hii iwe fundisho Kwa majambazi wengine.
bashite ameponea chupuchupu
Hajapona kwa lolote, akijitokeza mtu akadai DAB athibitishe elimu yake mahakamani ni kisanga kingine hiko maana ni kosa kuwa mtumishi wa umma bila kuwa na cheti. ( mimi sijui kama anacho au alifoji jina) ila kwa sifa za DAB angeita press akiwa na vyeti OG. Ukimya wake ni ishara tosha

Usisahau yale makontena.
 
Sio kuachiwa ila hii less kwa jicho la tatu Ina siasa ndani yake ili wakija kumfunga Mbowe waseme mbona sabaya alifungwa?

Tuombe tu less ya Mbowe mawakili na majaji watende haki!!
Acha wasiwasi kesi inahukumiwa kwa ushahidi usio na shaka . Kingai na wenzake wameshindwa kutoa ushahidi kuthibitisha madai ya ugaidi dhidi ya Mbowe.
 
Indeed mana yule shetani mkubwa kitendo cha kuyanyamazia matendo yake ni dhairi yalikuwa na baraka zake.
Yule mwendazake kafa na Mengi..!! Angeishi zaidi kuna watu wangeumizwa mno..
 
Sheria imechukua mkondo wake.
Watetezi wake wakamkatie rufaa
Sabaya aliwabaka wanawake wengi hususani wasanii wa bongo movie na mziki akiwemo Nandi anazo kesi zingine za kujibu
 
Asiwe na wasiwasi akitoka atakuta tumeshamsaidia kumpa mimba atalea watoto
 
Asante Mama Samia, Jambazi Lililolala kaburini limeumbuka. Mungu azide kukoka Moto huko liliko
Ni kweli limeumbuka na ndiyo maana dogo kasema kabisa kwamba alikuwa anatumwa na jambazi Mkuu kutenda hayo.
 
Mwenye picha ya mchumba wa sabaya alete basi, na namba kama ipo tumpe pole.
 
Acha wasiwasi kesi inahukumiwa kwa ushahidi usio na shaka . Kingai na wenzake wameshindwa kutoa ushahidi kuthibitisha madai ya ugaidi dhidi ya Mbowe.
Kwanza kingai na mahita waliwatesa kuwapiga walinzi wa mbowe kinyume cha Sheria ambayo inakataza kumwandikisha Maelezo mtuhumiwa baada ya kumpiga kumtesa .
 
Back
Top Bottom