Sir Teacher
Senior Member
- Nov 16, 2015
- 111
- 99
duuu huyu kuna uwezekano mkubwa alimpata kwa bundukiView attachment 1975428
Huyo hapo
Lissu anasema ni Bora ya Mwendazake kuliko SamiaYule mwendazake kafa na Mengi..!! Angeishi zaidi kuna watu wangeumizwa mno..
Kwan amekamatwa kwa ushahidi upiHaiwezekani kwa ushahidi upi?
Hakuna kesi pale.
Sabaya alipaswa kushtakiwa kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na wenzake wangekuwa ndio mashahidi.
Ataachiwa huru mchana kweupe!
Afungwe kwa kosa lipi? Kwani uliambiwa mbowe ana kosa lolote?Mbowe nae akifungwa mfurahie hvy hvy
Mungu yupo kazini kwakuwa yamekukuta? Wakati mnapowaonea wengine shetani anakuwa zamu sio?Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Mwananchi
Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
Inategemea alikuwa anaongelea nini kuwahusu.Lissu anasema ni Bora ya Mwendazake kuliko Samia
mkuu mfungwa alikuwa anapenda chura sana 😬Huyo mchumba lazima ana chura
Ova
Ni mjinga wenzake wakitumwa wanachanganya na za kwao.Mungu amjalie mh hakimu kwa kutenda haki. Sabaya hata Lumumba mumteeje alikwa na roho ya shetani hata kama alikuwa anatumwa alitakiwa achanganye na za kwake.
Si usubiri, kesi yenyewe Bado hata haijaanza, mbona unaconclude mapema?Haiwezekani kwa ushahidi upi?
Yesu pekee ndiye Rafiki wa kweli!
Usilitaje jina la Mungu wako hovyo! Mungu hajawahi kuwa kazini na kamwe haitatokea awe kazini! Mungu ni mkamilifu na ni mwema!Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Mwananchi
Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .