Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Hakuna kesi pale.

Sabaya alipaswa kushtakiwa kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na wenzake wangekuwa ndio mashahidi.

Ataachiwa huru mchana kweupe!

Mtabiri uchwara....haya wikiend hii kampelekee sabuni na mswaki huyo fala mwenzako gerezani huko!!!
 
Dah nimemuonea huruma nita mtembelea nita msaidia kumpa mchumba wake matumizi
 
Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .

Chanzo : Mwananchi

Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
Mungu yupo kazini kwakuwa yamekukuta? Wakati mnapowaonea wengine shetani anakuwa zamu sio?
 
Mada ndefu sana ila hakuna anaeuliza picha ya mchumba wa sabaya
Screenshot_20211015-184947.jpeg
Screenshot_20211015-184938.jpeg
 
Namtakia kila la heri katika maisha yake mapya aliyo jichagulia. Natambua fika usiku wa leo kwake utakuwa kama ndoto vile, lakini ndiyo hivyo tena.

Ndani ya wiki hii ataanza kushindia zile nguo za rangi ya machungwa! Na siyo suti tena za Mheshimiwa DC wa Hai.
 
Yesu pekee ndiye Rafiki wa kweli!

..CCM inajivunia kuwa na rasilimali watu.

..sasa imeshindwa vipi kumtafutia ahueni kada wake?

..Sabaya sio mtu wa kupewa hukumu mbaya-mbaya utadhani ni mpinzani nchi hii.

..CCM imetumia Sabaya na kumtupa kama kondom.
 
Kwan amekamatwa kwa ushahidi upi
Kukamatwa kienyeji na Polisiccm ni tofauti na ushahidi mahakamani kule mahakamani Polisiccm wameumbuka sana hawajui PGO walitumia Mbinu katili kuwatesa watuhumiwa kinyume cha Sheria
 
Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .

Chanzo : Mwananchi

Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
Usilitaje jina la Mungu wako hovyo! Mungu hajawahi kuwa kazini na kamwe haitatokea awe kazini! Mungu ni mkamilifu na ni mwema!
 
Back
Top Bottom