Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Wakati anakaba watu na kupora pesa Nani alikuwa kazini?
 
Makonda ni mzinga wa nyuki, ukiguswa nchi haitakalika.
Mbele ya SSH Makonda ni kijana wa shamba ambaye hana lolote analoweza fanya. Makonda ana nini mpaka aogopwe? Hata ten most influential people in Tanzania hayupo wala hana maamuzi au washirika wa maana.

Kwa Tanzania hii rais ana nguvu sana ambazo hawakuwahi kuzitumia. Nyerere alikuwa alibadilisha Mkuu wa Majeshi kuwa mkuu wa Mkoa. JPM kamtoa DG wa TISS kuwa Balozi. SSH kamtoa Brig. Gen. Mbuge na kuwa Mkuu wa Mkoa, Katibu Mkuu kuwa mbunge, Waziri wa Ulinzi wa kike. Kipi anacho Bashite?
 
"nina mchumba ninatarajia kumuoa hivi karibuni na mahari nimeshalipa naomba mahakama iniachie huru..." [emoji23]
Ila jamaa limeacha demu mzr, huyu demu hawezi salimika analiwa mapema kabla hata ya mumewe kuwekwa nyuma ya nondo.
 
Kubalansi wote Kuachiwa imeshindikana hivyo balansi inayofanyika sasa ni Wote kwenda Jela ili Jumuiya ya Kimataifa ione kuna Haki na hakuna anayeonewa Tanzania.

Sioni uhusiano katika kesi ya Sabaya na Mbowe.
 
Yaani umeiweka vizuri mno mkuu@GUSSIE. Ndugu zetu wengine wa damu kabisa wako upinzani. Marafiki na majirani ndiyo usiseme. Sasa hawa binadamu wenzetu utawachukia na kutoshiriki nao hata mambo ya kijamii? Tujue kuwa Siasa za ustaarabu Hazina uhasama. Tunajisahau Sana tunapoona wapinzani ni maadui.
 
You are very right, perfectly right, lakini kwa nchi gani? Tanzania? ya Samia? Huyu mama hana aibu..... Umesikia matamshi ya CJ juzi? Kuwa lazima mahakama ziangalie mwelekeo wa serikali! I need your comment on this!
Nakuelewa lakini ukumbuke international commumity inataka kuona haki inatendeka. They may need to impress them!
 
Nilicho funzwa na Mama mzazi ni kutokujikweza.......

Katika Umri mdogo nime wai pewa position kubwa ya maamuzi katika sehemu nayo fanyia kazi.....Nacho amin viongozi wazuri wanazaliwa na talented.....

Sio siri nimeishi Sana maisha ya Mwalimu Nyerere....

Ila sijawai kua kama Ole sabaya....Hii dunia na ardhi tuikanyage kwa heshima.....kuna muda Sabaya alijisahau na kujiona Mungu Mtu.....

Vijana tukiaminiwa katika uongozi Tujitahidi kuacha alama chanya.....
 
Hivi ile crip ya Lema wakiongea kwa simu huku Lengai akiwa amelewa mayo?iwekeni.Dogo alilewa sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…