Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Angeliyajua mapema angetoroka nchi maana alikua na madolali ya kutosha.
 
Leo kwa mara ya kwanza umetoa pole kwa ccm
 

Mnashangalia hukumu ya Sabaya Leo; lakini atakata rufaa na tusubiri matokeo !



 
Tupia snap ya demu yake Sabaya itanoga
mbona picha ya dem wake tiyar ishatupiwa humu, angalia kwenye thread ya 30 hadi 35 zimetupiwa nyingi tu, demu lina shep nzr, sura nzr, na dimpoz afu dem amepanda ameenda hewani yaonesha ni mnyarwanda maana ana figa ya kinyarwanda.

Huyu demu tiyari wajuba washamweka kune mahesabu yao. Huyu halazi siku anachukuliwa. Hata jamaa yake alivojitetea vile, tiyari alishajua hana chake pale.
 
Mi nasubiri hukumu ya mbowe [emoji28][emoji28], kulia kupokezana [emoji28][emoji28]...
 
Kwenye rufaa pia ni ngumu kuchomoka labda wale wenzake wawili
 
Makonda alinyanganya nani ela?kama sio Chuki binafsi kwa Makonda;

..kuna watu wanadai Bashite alikuwa na genge la kulawiti watu waliokuwa wakitekwa.

..kwa hiyo wale victims wake akiwaachia wanatunza siri hawaripoti popote.

..Sabaya naye angekuwa na genge kama la Bashite huenda mashahidi wasingekuwa tayari kueleza kilichowatokea.

..Na kosa lingine la Sabaya lilikuwa kutumia magari yenye namba za UMOJA WA MATAIFA / UN wakati akifanya uhuni.

..Sasa hali hiyo inalitoa suala lake toka ndani ya nchi na kulipeleka ktk viunga vya UN. Alikuwa akiichafua serikali kwa washirika wake wa nje. Hivyo ni vigumu kumlinda mtu wa namna hiyo.
 
Nitafungua kesi mpya dhidi ya sabaya kwa aliyofanya kwenye bustani yetu Sanya.
 
Mnashangalia hukumu ya Sabaya Leo; lakini atakata rufaa na tusubiri matokeo !

View attachment 1975626

View attachment 1975628
misekule hamkosekani huyo ndio basi Tena warangi tunasema Yasilile
Na sisi wahehe tunasema vile vile
Yasilile
Wabena tunasema vile vile
Yasilile

Yaaani yasilile Mwana agwilie mu liganga pufuuuuuu!

Gakusemwa ago mnyalukolo!

Wahaya tunasema Acholile mwana Acholile
Hiiiiiiii bha goshaaaaa!
😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…