Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha


Ujinga tu
 


Funzo tulilolipata ni kutabasamu hata katika nyakati ngumu.

Uzi huu inahusu zaidi TABASAMU la OLE Sebaya, hayo mengine sio muda wake
 
Ajiongeze akamuoneshee tabasamu vizuri nyapara wa jela inaweza kusaidia kuepukana na shulba za mle mjengoni

Akinyea makasha miaka miwili tutahitaji kuona hilo tabasamu limefikia level ipi
 
Ajiongeze akamuoneshee tabasamu vizuri nyapara wa jela inaweza kusaidia kuepukana na shulba za mle mjengoni

Akinyea makasha miaka miwili tutahitaji kuona hilo tabasamu limefikia level ipi


😄😄😄

Unazingua ujue.

Hatochoka kutabasamu, ashakuambia Mungu yupo kazini,
 
kwani mbowe ni nani mbele ya sheria za nchi hii?!
kama Haki imetendeka kwa Sabaya bilashaka itayendeka pia kwa Mbowe.
yaani wafuasi wa mtuhumiwa wa Ugaidi wanataka kutuaminisha kuwa Haki kwa mbowe ni kuachiwa tu sio kufungwa jela!!!
Haki ni Haki tu.
Sabaya Kala 30 huko!!..Mbowe bado kesi iko mahakamani!!..Msaidieni General Sabaya aliyekiri Makosa na kuomba apunguziwe Adhabu kisa ametoa mahali Kwa mtoto wa Mjini (slay queen)
 
wanasheria tunaomba ufafanuzi hapa kuna wengine wanasema hukumu ni jumla ya miaka 30 hivyo inagawanywa kwa watu 4 kila mmoja mika 7, wengne wanasema kila mmoja miaka 30 kwasababu miaka haigawanyiki

hivyo ukweli ni upi
Kila mshtakiwa atakwenda jela miaka 30.

Kwa hesabu za Magereza watakaa miaka 20 hivyo watatoka 2041 ma kumkuta Rais wa awamu ya 8!
 
Namwonea huruma sana huyu bwamdogo wanampoteza kihuni tu wakati wao ndio walikua wanamtumia.
Zamani sana hata pia Ben saa8 tangu anajiunga hapa,akawa lopolopo sana kila kitu anakijua yeye.
Niliwai kumshtua tu kama mdogo wangu "e bana taratibu"siasa za Bongo nenda nazo mdogo mdogo.
Ndo kwaanza akawa bichwa hilo.
Alikopotelea hamna anayejua mpk leo.
 


😄😄😄😄

Mungu ndiye Hakimu
 
Anajaribu kuonyesha watu kwamba yuko sawa ila amevurugwa sana ndani yake

Sabaya ni mtu flani smart nikisema smart simaanishi ni mwema hapana
Ila anauwezo wa kufanya maasi na kuaminisha watu kwamba yeye ni mwema kama hauko makini unaweza ukamuamini

Tofauti na makonda mzee wa kufeli alikuwa anafosi tu Ufox

Kwa mambo aliyokuwa anafanya sabaya
Siyo mtu wa kuja na kusema alitumwa na Rais na Mpango anajua hiyo, kwa kauli hii ni kwamba hayo mambo yanamchanganya sana kwa ndani

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 


Umesema kweli.

Mshikaji hapo sijui ilikuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…