UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Vyeti feki mna mambo!!Magufuli alikuwa sheitwani kabisa
labda ungesema kuwa " watumishi wa umma mna mambo kwakuwa alijimilikisha haki zenu" ningekuelewa.Vyeti feki mna mambo!!
🤣 🙏Jamaa anaonekana kama sterling wa picha ya Kihindi
Kuongeza mapato ya serikali na kukuza biashara kwa ukanda ambapo Hifadhi hiyo ipoWakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tz Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa chuo cha MWEKA ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa. Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
[emoji3][emoji3][emoji3]Lengo lilikuwa
1. 'kama kuna hifadhi Moshi na Arusha why not Chato'?
2. Kama hifadhi ndio zinawatia kiburi hawa ma mangi subiri sasa tuone, ngoja na sisi tuwe nazo.
Ujinga mtupu!
Tatizo ukikumbuka hata mbio zake za kisiasa jamaa Biharamulo wakati ni Jimbo walimkataa kabisa I guess it was 1990.Haijabadishwa jina ila ameongeza neno chato mbele .trust me watu wa biharamulo wanaona wameporwa hifadhi yao
Jamaa lilikuwa psycho Ila Mungu ametuepusha aisee watanzania hatukuwa watu wa kutendewa namna hiyo ndio maana likasepeshwaLengo lilikuwa
1. 'kama kuna hifadhi Moshi na Arusha why not Chato'?
2. Kama hifadhi ndio zinawatia kiburi hawa ma mangi subiri sasa tuone, ngoja na sisi tuwe nazo.
Ujinga mtupu!
Ahsante sana wa kiwango cha juu.1. Kuongeza vyanzo vya kuvutia watalii
2. Kuwalinda wanyama walioko kule ili wasimalizwe na wawindaji haramu
3. Kutengeneza ajira kwa vijana wetu.
4. Kufungua utalii kwenye kanda ya magharibi
Nadhani hizo kwa kiwango chako cha chini zinakutosha.
Kwani si tulikubaliana kwamba chato ni kitovu cha utalii?Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tz Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa chuo cha MWEKA ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.
Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Kanda ya kaskazini ilitakiwa ibaki jangwa au mmesahauNa Serengeti iwe nini?
Yajayo yanafurahishaYaliyopita si ndwele tugange yajayo.