Lengo la kuanzisha hifadhi ya Burigi - Chato lilikuwa ni nini?

Ibilisi alikuwa anataka wanyama waliohamishiwa huko watorokee Rwanda kwao na akafaulu , Rwanda wamepata wanyama wa bure na tilioni saba za Tanzanite alizozulumiwa na tolu ,Rwanda Oyee ?
 
Kilimanjaro mountain ndiyo mbuga ya pili kwa kuingiza mapato mengi nchini baada ya Ngorongoro. Acha porojo
Soma taarifa za serikali kwanza kabla hujabisha. Usibishe tu kuonekana na wewe unabisha, ni dalili za mtindio wa ubungo.
 

Eeh ebu Acha bana! Kwani wale wanyama walopelekwa kwa malori wameishia wapi?
 
Labda kurahisisha wanyama wale kuhamia nchi jirani pasipo mashaka!!
Nimesema "labda!!!"
 
Mwandishi wa hili bandiko ni mnafiki sana kama baadhi ya hao ndg zako wachangiaji.

Umeandika mambo manne na katikati unachanganya watu, kinafiki, kama ulikuwa hujui kitu bora ungeuliza swali moja kama lililobeba heading.

a)Umesema hujui lengo la kuanzishwa hifadhi ya Burigi-Chato.

b)Kuna wanafunzi wanapelekwa kufanya tafiti.

c)Hakuna wanyama huko Burigi-Chato.

d) Wanyama wakiona watu wanakimbia kisa wanaogopa kuwindwa.

UNAFIKI WAKO 👇🏾...
Sasa kama hakuna wanyama, hao wanyama ambao wanakimbia kwa kuogopa binadamu ni 🐦 ndege?

Although Mweka ni chuo cha usimamizi wa wanyamapori ambacho kilianzishwa ili kutoa elimu jinsi ya kusimamia rasilimali hiyo kuntu pia kinatoa diploma nyingine za utalii.

Utafiti ni chanzo cha kujua tatizo na kulitatua na kuweka uwiano utakaofaa kwa eneo husika, so unatuletea mapicha kama wachangiaji wenzako kwa kumnanga Magufuri kwa kuanzisha hiyo hifadhi.

Hiyo siyo sahihi, mnapoanzisha mada muwe specific eneo unalotaka kuelezea siyo kutuchanganya kwa kutafuta ubaya, acha unafiki dogo.
 
Sawa blaza japo lengo langu la kuanzisha uzi silo ulilobainisha kwenye comment yako ndefu.
 
Mmmmh!
 
Tatizo ukikumbuka hata mbio zake za kisiasa jamaa Biharamulo wakati ni Jimbo walimkataa kabisa I guess it was 1990.

Mjinga sana ana visasi na hiyo sio tabia ya mtanzania huyu lazima yanayosemwa ni kweli maana hata babake hatujui alizikwa wapi.
Jamaa alikuwa ajitaka jambo lake hajali wangapi wataumia
 
Ilikuwa ni kumfurahisha mtukufu mwendazake
 
Justification ya uwanja wa ndege wa Chato!?

Ushamba mzigo sana. Si unakumbuka waliweka mpaka taa za barabarani kule!?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi siamini hadi niende nikaone huo uwanja na traffic kights.
Dah! Vituko sana.
 
Hivi chuo kikuu na national studium vimekamilika?,, maana navyo vilikuwa mbioni sana.
Mwaka huu ilikuwa uwe mkoa, mwakani jiji.
 
Ile mbuga ilikuwapo siku nyingi sana hata kabla ya uhuru, kilichofanyika ni kuitangaza ijulikane tu; siyo kuwa ilianzishwa majuzi tu.
Ilikuwa ni mbuga yenye wanyama gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…