Tupia picha basi, kuna wengine hatukuonaTunaambiwa ni kosa mtu kuvaa magwanda yenye mfanano na yale ya majeshi yetu. Je, kitendo cha Makonda kuvaa kule Chuga lile jacket ni sahihi??? Je, na mimi mwananchi wa kawaida nikipata kama lile nivae tu au mimi siruhusiwi??.
Je, Makonda kuvaa vile ana lengo gani au anataka kufikisha ujumbe gani kwa jamii.
Tupia picha basi, kuna wengine hatukuona
Labda kwanza unatakiwa ufahamu yeye ni Mkuu wa Mkoa ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ya Mkoa..Tunaambiwa ni kosa mtu kuvaa magwanda yenye mfanano na yale ya majeshi yetu. Je, kitendo cha Makonda kuvaa kule Chuga lile jacket ni sahihi??? Je, na mimi mwananchi wa kawaida nikipata kama lile nivae tu au mimi siruhusiwi??.
Je, Makonda kuvaa vile ana lengo gani au anataka kufikisha ujumbe gani kwa jamii.
Eti ccm ndo wanamtegemea baada ya samia 2030 ndo awe raisi. ndo Wana uhakika wa kulinda maufisadi yao, kwa akutumia udiktera kama wa mwendazake.View attachment 2990561
Tunaambiwa ni kosa mtu kuvaa magwanda yenye mfanano na yale ya majeshi yetu. Je, kitendo cha Makonda kuvaa kule Chuga lile jacket ni sahihi? Je, na mimi mwananchi wa kawaida nikipata kama lile nivae tu au mimi siruhusiwi?
Je, Makonda kuvaa vile ana lengo gani au anataka kufikisha ujumbe gani kwa jamii.
Anatuma ujumbe kwa makamada wa pipoozi wakiwa kwenye gwanda za polisi.
Tunaambiwa ni kosa mtu kuvaa magwanda yenye mfanano na yale ya majeshi yetu. Je, kitendo cha Makonda kuvaa kule Chuga lile jacket ni sahihi? Je, na mimi mwananchi wa kawaida nikipata kama lile nivae tu au mimi siruhusiwi?
Je, Makonda kuvaa vile ana lengo gani au anataka kufikisha ujumbe gani kwa jamii.