Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani RC ameruhisiwa?Mkuu wa Wilaya naye anaruhusiwa kuvaa??
Nani mwingine RC anayevaa hivyo?Ni RC huyo jaribu so he's above the law na anaruhusiwa.
Wengine hawapendi tu ila huwezi sema ni kitu cha ajabu yeye kufanya hivyoNani mwingine RC anayevaa hivyo?
Solving people problems bila camera ni baraka kubwa sana ,chukueni hio
Tunaambiwa ni kosa mtu kuvaa magwanda yenye mfanano na yale ya majeshi yetu.
Je, kitendo cha Makonda kuvaa kule Chuga lile jacket ni sahihi? Je, na mimi mwananchi wa kawaida nikipata kama lile nivae tu au mimi siruhusiwi?
Je, Makonda kuvaa vile ana lengo gani au anataka kufikisha ujumbe gani kwa jamii.
Hilo koti ingevaa mimi au wewe muda huu ungerudi nyumbani kwako tumbo wazi.Kwanza hilo koti sio sare ya jeshi la wananchi JWTZ