Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Makonda mjeshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadhani mtu anakuwa RC ni mlugalugaNi very rare mtu hasa Tanzania kuchaguliwa position ya mkuu wa mkoa kama sio kitengo.!
Ni very rare!
Anajua SIRI zao zote, nani wakumgusa..??!! Ndomana anajeuri yakuongea chochote, but siku ya Mungu inakuja, watakimbia wakati hakuna awakimbizaye...
Tunaambiwa ni kosa mtu kuvaa magwanda yenye mfanano na yale ya majeshi yetu.
Je, kitendo cha Makonda kuvaa kule Chuga lile jacket ni sahihi? Je, na mimi mwananchi wa kawaida nikipata kama lile nivae tu au mimi siruhusiwi?
Je, Makonda kuvaa vile ana lengo gani au anataka kufikisha ujumbe gani kwa jamii.
HUYU NI AMIRI JESHI WA ARUSHA
Tunaambiwa ni kosa mtu kuvaa magwanda yenye mfanano na yale ya majeshi yetu.
Je, kitendo cha Makonda kuvaa kule Chuga lile jacket ni sahihi? Je, na mimi mwananchi wa kawaida nikipata kama lile nivae tu au mimi siruhusiwi?
Je, Makonda kuvaa vile ana lengo gani au anataka kufikisha ujumbe gani kwa jamii.
Kuna jamaa aliambiwa "unabishana na mimi? Uliza uambiwe"Hao ni kitengo mia kwa mia
Mkuu wa Wilaya naye anaruhusiwa kuvaa??Makonda ni Mwenyekiti wa KUU Mkoa, sio raia mwenzako.
Vipi kuhusu wakuu wa wilaya??Ni RC huyo jaribu so he's above the law na anaruhusiwa.
Na wakuu wa wilaya wanaruhusiwa??Yeye ndiye rais wa mkoa kama angekuwa amevaa kombati mkoa ambao sio wake kiongozi tungeweza kujadili.