Lengo la Makonda kuvaa koti linalofanana na Jeshi ni lipi hasa?

Anajua SIRI zao zote, nani wakumgusa..??!! Ndomana anajeuri yakuongea chochote, but siku ya Mungu inakuja, watakimbia wakati hakuna awakimbizaye...
 
HUYU NI AMIRI JESHI WA ARUSHA
 
Nia na madhumuni ni kutaka tumjadili bashite ili aendelee kutrend. Stupid tu.
 
Tupunguze chuki wakuu...jamaa kila akifanya kitu watu wanaponda
 
Yeye ndiye rais wa mkoa kama angekuwa amevaa kombati mkoa ambao sio wake kiongozi tungeweza kujadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…