Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Faiza wewe ni Samia kabisa. Mwana jamii forum mkongwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mengi ya kufanya dada zaidi ya kurithi yale yaliyopangwa na kuasisiwa na utawala uliopita. Tumepoteza fedha nyingi kijinga hata juzi tu tumelipa billioni 250 kwa ujinga wa serikali iliyopita ambayo Samia alikuwa makamu rais. Mkataba mbovu wa Bandari ni kipimo cha serikali ya Samia, tutajua hayo from 2025 onwards.Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Sasa uku jf ndio chadema.mpo huko mtaani hakuna mtu anae watakaMkuu mbona unajizima data hivyo
Fatma wacha hizoSasa ribandali si arijauzwa.
Mtu ukila hongo lazima mavi yakutoke mdomoni ...mzima wa walodi hautakuacha salam...nasikia umeanza kutafuna nguruwe siku hiziLeo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
rubbish comes from youLeo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Hapana ni kinyesi.Hili nalo ni topeee
Kumfananisha Samia na huyu mwehu wa JF ni kumkosea adabu mama.Ukute huyu ndo Samia kweli
Akili matope ndio hiziHii bandari na DP World imekula kwetu chadema.
Sio tope. Mleta mada anatuletea uharo unaoweza kutuambukiza kipindipindu.Hili nalo ni topeee
Wewe ni topeee kabisaLeo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
kwani Chadema ni kuvaa pampers ??Unafikiri kuwa CHADEMA ni kama kuvaa kobazi?
Yeye kakiona na kukielewa anachokinena.Sijaona anacho kinena huyu bibi
Labda na Mimi nikikiona live ndo ntaamini anacho kinena.Yeye kakiona na kukielewa anachokinena.
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?