Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?

Yaani wewe tunakujua, unajipa jina la FaizaFoxy wakati ndo mama mwenye nyumba magogoni na chamwino
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Sisi wana CCM tuwe makini sana.Kwa uzoefu wangu watanzania ni wepesi sana kudanganyika na upinzani.Huwa wanatumia mihemko kwenye kupiga kura.
Mimi nilifuatilia uchaguzi wa mwaka 1995,2010 na 2015 ambapo nusura CCM wapoteze kwa Mrema wa NCCR wakati huo.Lakini ukilinganisha Mrema na Mkapa ni tofauti kabisa.
Hili suala la bandari limeshabadili upepo wa kisiasa kwa kiasi kikubwa.Wakati miezi miwili tu iliyopita wengi wetu tulikuwa tunaamini Mama anaweza akapita bila kupingwa,sasa umeanza kuwa na mashaka.
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
hizo ndoto za aninacha kawaulize DJIBUTI kama kuna vitu kama hivyo au ndio wanalipa compensation kwa mwarabu. shida ya akili za watu kama faiza, mwarabu kwao ndio mungu dunia, hata akiharibu hali ya hewa huwa wanasema ni pafume kwasababu hata lugha itakayoongelewa ahera ni kiarabu. upofu na ukiziwi umejikita hapo.
 
Hichi kibibi kimeshafikia menopause ,ni hakina chakupoteza gagura huyuu.
 
Sisi wana CCM tuwe makini sana.Kwa uzoefu wangu watanzania ni wepesi sana kudanganyika na upinzani.Huwa wanatumia mihemko kwenye kupiga kura.
Mimi nilifuatilia uchaguzi wa mwaka 1995,2010 na 2015 ambapo nusura CCM wapoteze kwa Mrema wa NCCR wakati huo.Lakini ukilinganisha Mrema na Mkapa ni tofauti kabisa.
Hili suala la bandari limeshabadili upepo wa kisiasa kwa kiasi kikubwa.Wakati miezi miwili tu iliyopita wengi wetu tulikuwa tunaamini Mama anaweza akapita bila kupingwa,sasa umeanza kuwa na mashaka.
Ndiyo sasa tupo 2025 na bandari inaingiza kipato ambacho haijawahi kuingiza toka dunia ianzishwe.

Tunawaambia wananchi "bandari imeuzwa" si tutakuwa wehu kama Tundu Lissu?
 
Sasa uku jf ndio chadema.mpo huko mtaani hakuna mtu anae wataka
Mkuu usicho kijua Ni usiku wa kiza huo ccm tunakulaga fedha tu Mimi laiti viongozi wenzangu wa chama wangejua sipo pamoja nao lwenye baadhi ya Mambo wangenitimu huku JF ndo uhalisia wa maisha yetu huko mtaani uchawa mwingi
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
MNAFIQ TU WW.
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Tumekusikia mwana wa Mnyaazi Mungu...
 
Unafikiri kuwa CHADEMA ni kama kuvaa kobazi?

Tokea Lin wavaa kobaz tukashangilia chadema chama Cha mapadre??

Mara PENGO,Mara Wilbroad Slaa na kadhalika,kwani wanachama wenu SI wanajulikana??ukorofi huo
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Acha ujinga wako. Kwani hiyo mitambo lazima wafunge DP. Eti bajeti nusu itoke bandari wakati tutakachoona ni vigogo wote majasusi wa CIA na mission kuhakikisha maslahi ya china urusi na marafiki zao yanakwama tanzania.
Wale mabosi kiasi watajazwa wapwani na wapemba. Waswshili tu.
2025 waka mama hutuna haja nae mawazo ya kiswahili uvivu na tegemezi. Nchi ilianza kisaikolojia kujiamini na kua na fikra za kujitegemea saa hizi ni kuwaza kukopa na upigaji tu.
 
Back
Top Bottom