Leo ilipaswa kuwa mwaka 2031, Error katika upangaji wa Calender imetufanya tuwe 2024

Calendar ni man made thing na zipo nyingi sana, mungu hahusiki hapo
Mungu hahusiki, kwa sababu hayupo.

Angekuwapo, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hata calendar zisingekuwa nyingi.

Ingekuwa moja tu ya Mungu.

Kuwepo kwa kalenda nyingi nako ni ushahidi Mungu hayupo.
 
Leo hii ni AD 2024 au 2024 CE utasemaje sio kitu hicho hicho?
 
Gregorian calendar
Julian calendar
Lunar calendar
Islamic calendar

Hizi zote zipo tofauti. Hata wewe unaweza kuwa na calender yako na ukaifuata maisha yataendela vile vile.

Au tatizo katiba 😅
 
Una matumizi mabaya ya akili,unapoteza usingizi wako bure tu sasa hivi saa 7 usiku kwa ajili ya kubishana na facts
 
Ujinga tu na kunichosha na story za kufikirika kama hizi 😀😀😀 sasa kama sio 2024 mbona ni 2024 mkuu izo ni story za kufikirika tu sema unataka kujionyesha kwamba na wewe unajua historia kumbe nonsense
 
Ujinga tu na kunichosha na story za kufikirika kama hizi 😀😀😀 sasa kama sio 2024 mbona ni 2024 mkuu izo ni story za kufikirika tu sema unataka kujionyesha kwamba na wewe unajua historia kumbe nonsense
sawa
 
Dakika, sekunde, saa, siku, wiki, mwezi mwaka ni illusion tuu hakuna kitu chochote kinachothibitisha hayo mambo.
ndio, ila zimewekwa ili kupima muda na kuupanga, ndo maana kila mwaka miezi ina sifa zinazifanana

mfano kipindi cha baridi, joto, mvua etc
 
calendar ni man made thing, civilization nyingi zina calendar tofauti, sisi tunafuata ya wakoloni wetu(Gregorian calendar ), sio kila nchi leo ni 2024, mfano Ethiopia leo ni 2014
ila ambayo inatambulika official kidunia kama reference ni Gregorian

kwasababu ndo yenye mpangilio unaokubalika zaidi upo accurate zaidi
 
Leo hii ni AD 2024 au 2024 CE utasemaje sio kitu hicho hicho?
kitu ndo hicho hicho labda u replace to neno BC na BCE au AD na CE

ila namba zinabaki zile kwasababu ndo reference iliyotumika kwa zaidi ya miaka 2000
 
Mungu hahusiki, kwa sababu hayupo.

Angekuwapo, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hata calendar zisingekuwa nyingi.

Ingekuwa moja tu ya Mungu.

Kuwepo kwa kalenda nyingi nako ni ushahidi Mungu hayupo.
mkuu, kigezo cha kua na Callender nyingi utakitumia kusema Mungu hayupo ?

mbona hata miungu ni mingi ila Mungu mkuu ni mmjoja

Callender pia ni ningi ila reference kuu ya kidunia ni Callender hii ya Gregorian
 
Gregorian calendar
Julian calendar
Lunar calendar
Islamic calendar

Hizi zote zipo tofauti. Hata wewe unaweza kuwa na calender yako na ukaifuata maisha yataendela vile vile.

Au tatizo katiba 😅
sio tu katiba, kwamba iwe ndo reference ya kidunia
 
ndio, ila zimewekwa ili kupima muda na kuupanga, ndo maana kila mwaka miezi ina sifa zinazifanana

mfano kipindi cha baridi, joto, mvua etc
Hiyo n nature tuu Ipo hvy kuwa ikitoka majira fulani ifate majira fulani
 
...MUMEMUELEWA ??...[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…