Leo imeniuma sana baada ya kujikuta usiku wa leo natembea na shemeji yangu

Baada ya mwezi, shemeji siku zangu zimepotea
Sasa 'Imeniuma kweli'/inakujaje halo Mwanga Wewe?
Mliarribisha chumbani, ukavua nguo mwenewe bila kulazishwa, Akavua Nguo mwemyewe bila Kulazimishwa....hukukumbuka kwamba ni Shemeji yako, Mnafiki Wewe??
 
Mkuuu nimepitia Uzi na kuuchambua hata ambavyo hujaandika.


kufupisha story, wee ulipanga kumla 100%.

Kwa demu yeye, Kuokoa gharama za Lodge, misosi, et kisa Mbunye?? Tena wee sio Kaka yake, shemej hana Laana, ni Mara moja tuu ,siku ingine atakua anafikia hapo, Jamaa yake hajui ..



Katika Yote, Ni wewe kula Peku peku, Kwa kudhan ni shemeji !!!.....


Alafu unasema mwili yanteyante, minofu ni teketeke , Shukuru yuko kwenye Mbaazi.
 
Kwahiyo akirudi toka dar tena unampokelea bar kisha nyumbani
 
Hii chai hii..halafu hua najiuliza kila mleta mada humu JF anakula demu mkali mara anaumbo zuri..sura nzuri sijui chura..tunaomba muwe mnatuma hata picha..vinginevyo acheni kutunywesha chai ya siturungi.

#MaendeleoHayanaChama
 
[emoji16][emoji16] eti anadai hajui hata ilikuwaje kuwaje ila shemeji ni yente yente sijui teketeke yaani huyu nae muhuni tu na tabia za kihuni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tushamshukia huyooo
Eti nyama kama zinataka kudondoka jaman jaman[emoji23][emoji23][emoji23]ili tumsupport ilkua haki yake kenge huyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tushamshukia huyooo
Eti nyama kama zinataka kudondoka jaman jaman[emoji23][emoji23][emoji23]ili tumsupport ilkua haki yake kenge huyo
[emoji16][emoji16] akapime tu STD'S
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…