Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Force stop then fungua App uconnect
Kama bado jaribu kuset hivi:-
R-UDP 76
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 3 au 03
R-COUNT 1000
Ikifanya kazi leta mrejesho hapa coz sina Android natumia PC hapa
Hii force stop naitoa kwenye settings za simu au za app yenyewe?
 
Force stop then fungua App uconnect
Kama bado jaribu kuset hivi:-
R-UDP 76
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 3 au 03
R-COUNT 1000
Ikifanya kazi leta mrejesho hapa coz sina Android natumia PC hapa
hizo setting
R-UDP 76
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 3 au 03
R-COUNT 1000
mbona hazipo kwangu
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-170142.png
    Screenshot_20220807-170142.png
    18.7 KB · Views: 54
Wanigeria noma. KILA sekta wapo njema. Wanampiga bao hadi shetani. Zamani ukipewa utajiri wa punje yaani kuwa tajiri then baada ya miaka SAwa na idadi ya punje kala kuku ndo utaishi. SAsa wanigeria wanaweza kuitoa hio lock. Yaani wanaflash password ya miaka ya kuishi uliyopewa na mganga bongo wanakuongezea miaka ukiendelea na utajiri wako.
 
View attachment 2316501. Nimesha connect na ipo sasa in surf , vip ni server namba ngapi ipo goood nikikonekt now ili nile asali na mm , hints natumia TIGO internet inaisha kesho saa 5 asubui
Mkuu @Lexuv SUV nipe muongozo kuhusu hii, yaan nimeshapakuwa App Sasa nifanye nini Hadi ifanye kazi.. itakuwa poa sana maana sielewi lolote hii kitu nimebaki kuingilia tu App Sina pa kuanzia
 
Watalaamu kuna simu yangu hapa android 11 haikubali ku install app yoyote niliichukua kupitia google,
 
One Man down do you copy
Team Alfa.............. Man down
Do you copy over
We need backup over
I repeat Man down we need Air support over
Nimeconnect natumia tangu jana vpn yako naona imeniandkia download data limit reached..tunasolvu vipi hili suala au ndo basi tena niendelee kuteseka na bei za home internet
 
Hivi inatumia njia gani ku surpass /bypass hizo MB 200 per day na kuwa unlimited? Maana inaniandikia. Download limit reached then inagona kufungua port
 
Back
Top Bottom