Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Hivi inatumia njia gani ku surpass /bypass hizo mb 200 per day na kuwa unlimited? Maana inaniandikia. Download limit reached then inagona kufungua port
mkuu.. nimekucheck mbona kimya
 
View attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
Mkuu nimeweka setting kama ulivyoelekeza bt inaniambia ivalid user name or password, hizi nazipataje?
 
Mkuu hiyo uliyoweka ni Droidvpn ya kawaida siyo MOD ya THOR HACKER hata hivyo nayo inaconnect kwa Free server tu.
Cha kufanya Uninstall hiyo Vpn alafu download na kuinstall hii jamiiforums-THOR alafu ukifikia hiyo step ya 4 bofya hapo chini palipoandikwa "Random Server" chagua Serve za THOR tu ndio zina speed ya Premium tofauti na free server then Connect.
Kama itagoma ingia setting ya simu uclear cache na data za hiyo VPN alafu force stop uanze upya proccess lazima iconnect
Mkuu mm inaniambia invalid user name or password, nafanyaje?
 
Wanajamvi,hii ina maana gani,nimefanikiwa,au ndo nimepotea?nisaidieni.
IMG_20220807_224056.jpg
 
Ingekuwa unlimited limit ingekuwa freshhhh mnooooooo mb 200 hazitoshi kwa siku yafaa gb 2 hivi kwa siku maana sisi wengine tunaendaga kucheki youtube tutorial
 
Nimeconnect natumia tangu jana vpn yako naona imeniandkia download data limit reached..tunasolvu vipi hili suala au ndo basi tena niendelee kuteseka na bei za home internet
Kuna njia zaidi ya Moja ila iliyo rahisi ni hii:-
-Kikubwa simu yako iwe Rooted
-Create Account za droid vpn hata 10 kwa maana 10x300=3000MB
-pakua device ID changer then fanya kuchange ID ya simu yako
-Login DRoidVpn na Ac nyingine
-Kila unapomaliza 300Mb zako change ID then unaingia Droid vpn na AC ingine yaani Mwendo huo huo
ukimaliza zile 10 badili server then Anza tena na ya 1 endelea kucheza na Device ID
 
Ingekuwa UNLIMITED LIMIT INGEKUWA FRESHHHH MNOOOOOOO MB 200 HAZITOSHI KWA SIKU YAFAA GB 2 HIVI KWA SIKU MAANA SISI WENGINE TUNAENDAGA KUCHEKI YOUTUBE TUTORIAL
Kuna njia zaidi ya Moja ila iliyo rahisi ni hii:-
-Kikubwa simu yako iwe Rooted
-Create Account za droid vpn hata 10 kwa maana 10x300=3000MB
-pakua device ID changer then fanya kuchange ID ya simu yako
-Login DRoidVpn na Ac nyingine
-Kila unapomaliza 300Mb zako change ID then unaingia Droid vpn na AC ingine yaani Mwendo huo huo
ukimaliza zile 10 badili server then Anza tena na ya 1 endelea kucheza na Device ID hapo unapigisha mpaka 6GB
 
Mimi nilikuwa mtaalamu kitambo sasa nina chimbo la kulamba asali vocha hazinipi chenga nimeacha na kuhangaikia Vpn ila ngoja niusevu huu uzi maana siku hazifanani.
 
Back
Top Bottom