The Verteller
Senior Member
- Jun 13, 2016
- 182
- 269
Poa ntajarbu kwa rain nyingneNimejaribu kunaline bado zinakimbiza na line nyingine za mtandao huo huo haziconnect so jaribu kuboostt au tafta line ingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa ntajarbu kwa rain nyingneNimejaribu kunaline bado zinakimbiza na line nyingine za mtandao huo huo haziconnect so jaribu kuboostt au tafta line ingine
Halotel inakuaj mkuuWatu wamepiga vifurushi vya Tigo mpaka wameshtuka wameamua kufunga sasa hv.
Tukapiga vya Airtel kimyakimya.
Tukahamia TTCL watu tumekula ma GB ya kutosha now wameshtuka wamefunga uchochoro.
Sasa hv tupo na Halotel tunaserereka na Ma GB Yao, mpaka kieleweke Yani.
Voda naona wanakaza kimtindo Ila kitaeleweka Tu.
Pm ipo waziMimi nilikuwa mtaalamu kitambo sasa nina chimbo la kulamba asali nimeacha na kuhangaikia Vpn ila ngoja niusevu huu uzi maana siku hazifanani.
Kuna settings zozote mzee ?Halotel + thunder VPN ndio mpango mzima
Nakuunga mkono[emoji3577][emoji3577][emoji3577]Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Hii kwa wasap tu Youtube na Insta hautoboi vipi wewe unatoboa nayo zaidi ya wasap ?Halotel + thunder VPN ndio mpango mzima
Linaitwaje ilo groupUmechelewa sana , pale telegrama kuna group kabisa , ni mwendo wa kuteleza tu
Jana ilikuwa vizuri sanaHii kwa wasap tu Youtube na Insta hautoboi vipi wewe unatoboa nayo zaidi ya wasap ?
HakunaKuna settings zozote mzee ?
Si ile thunderstorm au nyingine ?Jana ilikuwa vizuri sana
Instagram, facebook, whatsapp,
Nimedownload video kwa chrome speed ya 4g
Sasa hivi imepungua natumia whatsapp, twitter na jamii forums kama kawaida. Facebook lite kidogo iko slow
Si ile thunderstorm au nyingine ?
Au labda mimi nilikuwa sipatii server vipi wewe unaset vipi mpk inakubali kote huko maana mimi ilikua wasap tu tena muda mwingine kwa mbinde mpk nikaifuta kabisa..
MkuuUmechelewa sana , pale telegrama kuna group kabisa , ni mwendo wa kuteleza tu
Nipe link nijiungeUmechelewa sana , pale telegrama kuna group kabisa , ni mwendo wa kuteleza tu
Unachagua United Kingdom🇬🇧Si ile thunderstorm au nyingine ?
Au labda mimi nilikuwa sipatii server vipi wewe unaset vipi mpk inakubali kote huko maana mimi ilikua wasap tu tena muda mwingine kwa mbinde mpk nikaifuta kabisa..
Nape ni mtu wa ovyoHakuna namna.....Nape anakomaa na wanaolalamikia bei za bandoView attachment 2310797
Ngoja nikarudishe majeshi chapu tu 😆😆Unachagua United Kingdom🇬🇧