Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Watu huwa wanafanya mambo kwa kuangalia mood ya mkubwa. Rais ndiyo kila kitu, ukiona watu ni wezi ujue wamemuangalia na kumsoma Rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala jina la mtoto, haya ni matango poriHistoria haina mwaka wala tarehe!
Inawezekana pia hayo matukio yalipangwa.
Acha uongo bhana....Basi watoto wa Nyerere walikuwa wakorofi sana. Kuna mmoja ambaye naye Nyerere aliitwa shuleni Tambaza. Huyo headmaster baada ya muda akala shavu usalama wa Taifa.