so baada ya kumuacha,nini kilifuata?alikua fala, anashkiliwa akili na best zake, upuuzi anaoshauriwa huko kuhusu wanaume anakuja kureact kwangu, 2nagombana.. nkaona icwe tabu endelea kuskiza hao mabest.. mtu mzima ila hajitambui. yani kwa kifupi ni alikua fala.
asante.
47 yrsUmri pls
Of coz npo na bambucha mpya, ni kamodo asee cku nikiskip gym nampiga nondo yeye.so baada ya kumuacha,nini kilifuata?
Mm nategemea zakeulikua unampa pesa?
ah kitambo wakati tunakula ujanamlikua na umri gani wote?
Mimi chalii ya ngarnaHalooo wewe ni mukenya au chalii Wa ngongongare(ngurdoto)?
Eroo mama si alikua anajaribu kuonyesha mautundu asee, dah kweli una msimamoNyama ilikuwapo ndani ya jokofu ustadh.zagazaga zote zilikuwapo.na nlishamwambia ndizi bila nyama ni mwiko.lakini akawa analeta dharau.mila na ziheshimiwe,utanpikiaje ndizi salad na mi sio vegan umeambiwa mie mkamba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe!!!alilewa akajinyea bar nikamuacha toka siku hyo akaniacha eti sikumpenda wakati wa dhiki
[emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Manzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.
Nimempiga chini karibuni kwa kupenda sana pesa, yaani miradi yangu ikwame eti nahudumia mwanamke ambaye Hata sina uhakika wa kumuoa.Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.
Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.
Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.
mimi kuna kamoja kalikua kananinyima ngada nikakatema sasa hivi kanataka kurudi nikakaambia unakumbuka kwanini tuliachana? akasema sasa hivi ntakupa.. sasa jiulize ameanza kumpa nani mpka sa hv awe komfotabo kunipa mim [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aligoma kunyonya dushe siku ya kwanza tu nikamtema maana sikuona haja ya kuwa na mtu ambaye sitakuwa na furaha nikiwa naye japokuwa anadaigi kuwa kwa sasa anaweza nyonya sasa nikawa najiluliza alianza kunyonya ya nani.
Ungemtia mimba msingeachana mileleTulitofautiana dini, ila tulikua tunapendana sna
mlipotezana baada ya muda gani?