Ok nimekupata mkuu asanteSikia jje's sie wanaume tuko tofauti sana na nyie kina Mama japo mnatusingizia kuwa hatuna huruma. Ni vigumu sana kwa mwanamme kumfukuza mwanamke ndani ya nyumba yako kama ni mpenzi wako na amekutembelea. Mimi nilikuwa nafanya vitu kwa vitendo hoping atashikwa na haibu ila wapiiiii.
hahahahahh hiyo kitu hapo kwenye avanta inapatikanaje mkuu?alikuwa ananitishia mara kwa mara kuniacha nikaamua kumpiga chini mazimaaa....baadae akaanza kulia et alikuwa ananipimaaa
inapatikana kwa wingi kaskazin mwa Tz kibororoni, machame, kishumundu, kibosho na maeneo yaliyo karibu na hayo maeneo tajwa hapo [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]hahahahahh hiyo kitu hapo kwenye avanta inapatikanaje mkuu?
nimeimisi ujueeee
waoooo, nitaifata very soon nisikie kaharufu tu maana hata situmii ujueinapatikana kwa wingi kaskazin mwa Tz kibororoni, machame, kishumundu, kibosho na maeneo yaliyo karibu na hayo maeneo tajwa hapo [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
ni kweli kabisa hakuna haja ya kunywa ukipata ki harufu tuu unajiskia vema sana[emoji1] [emoji1] [emoji1]waoooo, nitaifata very soon nisikie kaharufu tu maana hata situmii ujue
kikikikikkkk
Kwan nimekuacha?Acha uongo!!
bravooooni kweli kabisa hakuna haja ya kunywa ukipata ki harufu tuu unajiskia vema sana[emoji1] [emoji1] [emoji1]
nyama ulipeleka akagoma kupika?Manzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.
Sasa Kama chama cha Tawala si Kingekuwa CCT. We vipi unageuza chumvi kuwa ubuyu...cha mijiziChama tawala sio cha majambaz.....
mpe halafu mpige chiniAlikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
ha ha haKuomba hela
Kupenda kuchezea simu yangu
Hapendi niende kulisakata Twanga
Mchawi
Mfupi halafu keusi sana
K ilikuwa ina emmit radiation za hatari
Alikuwa polisi pale sentro so ananitisha tisha kuniweka ndani
Hili jibu ni very bold.Hapana nilishapanda mti
ha ha ha huna akiliAlibakwa nikamsamehe
Akabakwa tena nikavunga
Akabakwa tena nikumsamehe nikaamua na mm nimbake....Nilipombaka yeye hakunisamehe....aliomba kad nyekundu
Ndio.Kwan nimekuacha?
Ilikuwepo kene flijinyama ulipeleka akagoma kupika?
ha ha ha basi alitakiwa adhabu ya kuipika na si kumwachaaIlikuwepo kene fliji