Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Ok nimekupata mkuu asante
 
alikuwa ananitishia mara kwa mara kuniacha nikaamua kumpiga chini mazimaaa....baadae akaanza kulia et alikuwa ananipimaaa
hahahahahh hiyo kitu hapo kwenye avanta inapatikanaje mkuu?

nimeimisi ujueeee
 
hahahahahh hiyo kitu hapo kwenye avanta inapatikanaje mkuu?

nimeimisi ujueeee
inapatikana kwa wingi kaskazin mwa Tz kibororoni, machame, kishumundu, kibosho na maeneo yaliyo karibu na hayo maeneo tajwa hapo [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
 
inapatikana kwa wingi kaskazin mwa Tz kibororoni, machame, kishumundu, kibosho na maeneo yaliyo karibu na hayo maeneo tajwa hapo [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
waoooo, nitaifata very soon nisikie kaharufu tu maana hata situmii ujue

kikikikikkkk
 
nyama ulipeleka akagoma kupika?
 
mpe halafu mpige chini
 
Kuomba hela
Kupenda kuchezea simu yangu
Hapendi niende kulisakata Twanga
Mchawi
Mfupi halafu keusi sana
K ilikuwa ina emmit radiation za hatari
Alikuwa polisi pale sentro so ananitisha tisha kuniweka ndani
ha ha ha
 
Me huwa napendwa xna na marafiki zake demu wngu so najikuta nageukia upande wa pili cku akigundua tu tunaachana naendelea na yule rafiki yake na yeye akianza kunitambulisha kwa rafiki zake wengne wanadata tena napiga hadi nimewachoka sada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…