theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
sina information zake kabisa nishamsahau kabisa.... eeeh tang"anasaivi yuko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina information zake kabisa nishamsahau kabisa.... eeeh tang"anasaivi yuko wapi?
Mkuu mbona nshaweka wazi kuwa alishazingua sana,so hilo la mwisho lilikuwa ndo funga kazi a.k.a last straw.but ni zamani sana.now tumerudisha urafiki,na amestaarabika sana skuizilkn mkuu..kubali tu kuwa huyo demu ulikua umemchoka.hakuweka nyama maybe alikua anajaribu kubana matumizi.
20alikua na umri gani?
kwa hiyo saiv huwa unamtafuna kisela au ndio urafiki wa kaka na dada?Mkuu mbona nshaweka wazi kuwa alishazingua sana,so hilo la mwisho lilikuwa ndo funga kazi a.k.a last straw.but ni zamani sana.now tumerudisha urafiki,na amestaarabika sana skuizi
Hahah kaolewa saiv mkuu,na kutafuna nke ya mtu ni marufuku kwangu hata awe mzuri namna gani.so tumebaki kaka na dada tu,tunasaidiana mambo mengine yasiokuwa ya kimwili.kwa hiyo saiv huwa unamtafuna kisela au ndio urafiki wa kaka na dada?
but ndio hivyo nishamfuta kichwani kabisa... now nafanya yangu mkuumkuu,makoloni huwa hayasauliki.
Hahaaa rubii unamambo ww[emoji2] [emoji1] [emoji7]1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
Aah ni kitambo sana,na sio jambo ninalojivunia nalo.so si vyema kulikumbushia,sababu wote tulikuwa tuna makosa.ujana una mambo ndugu yangu.ulishawahi kumkumbushia la kukupikia ndizi bila nyama?
hhahhhahahahahhahhhaalilewa akajinyea bar nikamuacha toka siku hyo akaniacha eti sikumpenda wakati wa dhiki
Hamna binadamu asie muongo ila kuna wengine kiwango cha uongo kimezidi sana hadi ngumu kuvumiliaso uliyenae saivi ni malaika,hajui uongo?
Mi mwenyewe nkikumbuka nabaki kucheka tu.waswahili wanasema ujana maji yamoto,japo japo ningalikijana lakini saivi maji yamekuwa saivivugu si yamoto sanaila ishu yako imenichekesha sana mkuu
Kumbe mtu akiwa na malengo ya kukuoa ni ruksa kukupiga???Kupigwa kila tukigombana so nikaona isiwe ishu asije niharibu reception bure then hakua na malengo ya kunioa