Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Nilimtafutia tempo sehemu halafu yule bosi wake akamchapa..nikamuuliza akasema si kweli nikaona poa ila badae nikapata evidence ya sms kwenye simu yake...akawa hana pa kutokea nia yangu ilikua nimsamehe yaishe ila nilipomuuliza ninikilimfanya anifanyie hvyo jibu alilonipa likanifanya nimteme on the spot
Alinijibu kuwa jamaa alikua anampatia pesa nyingi so akichanganya na ninazo mpa mm zinakidhi mahitaji yake..[emoji51][emoji51]alikula kikono cha shilawadu mpk leo
[Emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nimecheka kama mazuri vile! Ila nimeimagine ningekuwa mimi ningeumia sana
 
Kinganganizi yani kila ndugu yangu anataka kumjua hata posa mjomba hajapeleka na kingine mwanamke hafundishwi usafi.yani kuoga zile siku za kwanza mpka utapenda akishazoea sasa duuh.
 
Kuna siku huyo ex wangu aliniomba hela ya kusukia. Wakati ananiomba nilikuwa mkoa tofauti na tunapoishi nikamwabia nimesahau ATM yangu mza subiri baada ya siku 3 nkirudi ntakutumia nkamueleza nilikuwa na kiasi kidogo tu kisingetosha kwa mizunguko niliyokuwa nayo nkimtumia. Kesho yake nilipompigia akaanza dharau ooh wenzio washanitumia hela ya kusuka na picha ukitaka nakutumia whatsapp. Wakati najieleza nkasikia akinisonya kwa sauti ya chini na kusema "go to hell". Alidhani sitayasikia lakini nikawa nimesikia nikasema whaaaaaaat?!! Akasingizia ni maneno ya kwenye movie. Mi nkamuuliza movie gani hiyo hebu ongeza sauti nisikie mbona alihaha akaanza halooo halooo mtandao unasumbua! Tangu siku hiyo nilimuona mtu asiyenifaa ktk maisha yangu hasa ndoa kwani tulipanga kuoana mwezi wa 7 mwaka huu. Nilimpotezea mazima japo alipiga simu sana kuomba msamaha nkampotezea mazima mpaka leo.
 
Mm nilikuwa na demu mzur na ananipenda sana ila tatizo alikuwa ananuka mdomo halafu anapendaje romance. .[emoji23][emoji23][emoji23] kila nikimwambia kwa mafumbo hanielew, ikabid nibwage manyanga. Dada zetu mjirekebishe bhana kuna vitu vinatukera sana wanaume ila tunaona soo kusema kuna mpk wanuka K akivua nguo tu chumba kizima hakifai
 
1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
hivyo vingine nadhan ilikuwa vya ziada, ila kubwa ni mwanaume suruali. Angekupa pesa usingemwacha
 
Mimi msela alinichukulia alafu ni chalii wangu wa tokea utotoni asee.

Kumuuliza chalii siunajua huyu manzi ni wangu eroo? Akajibu

"Manzi kanikubali mwenyewe chalii"

Ikabidi nijikate tu alolo nikajiona fara ila manzi akaanzanga leta shobo baada ya muda nikaona huyu hajui kama mimi mkora!? nikamkata shavu kwa kumgonga rafiki yake wa karibu sana alipojua mpaka leo sijawahi kusikia pang'ang'a yoyote.
siku nyingine uchangamkee uache ukoroo
 
Back
Top Bottom