John Amigo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 627
- 414
nilimuacha tuasee...so akakuacha/ukamuacha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilimuacha tuasee...so akakuacha/ukamuacha?
Uzuri wa nyumba choo [emoji12] [emoji12] [emoji12]wewe ni muumini wa hiyo makitu mkuu?
[Emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilimtafutia tempo sehemu halafu yule bosi wake akamchapa..nikamuuliza akasema si kweli nikaona poa ila badae nikapata evidence ya sms kwenye simu yake...akawa hana pa kutokea nia yangu ilikua nimsamehe yaishe ila nilipomuuliza ninikilimfanya anifanyie hvyo jibu alilonipa likanifanya nimteme on the spot
Alinijibu kuwa jamaa alikua anampatia pesa nyingi so akichanganya na ninazo mpa mm zinakidhi mahitaji yake..[emoji51][emoji51]alikula kikono cha shilawadu mpk leo
we jamaaa ahaaaa umenifurahisha kwel.....Ulikuwa humkazi vizur!
wajomba zangu ni wachaga na Sijawahi kuhisi hata mambo hayo ya kiswahili huko uchagani..zaidi ni watu wanaopenda dini
Lilikuwa jambazi original la mjini full maigizo utafikiri linakupenda kweli.
Ukosefu wa Hela/pesa mwilini ndo uliopelekea nikaachana na mpenzi wangu.
hivyo vingine nadhan ilikuwa vya ziada, ila kubwa ni mwanaume suruali. Angekupa pesa usingemwacha1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
siku nyingine uchangamkee uache ukorooMimi msela alinichukulia alafu ni chalii wangu wa tokea utotoni asee.
Kumuuliza chalii siunajua huyu manzi ni wangu eroo? Akajibu
"Manzi kanikubali mwenyewe chalii"
Ikabidi nijikate tu alolo nikajiona fara ila manzi akaanzanga leta shobo baada ya muda nikaona huyu hajui kama mimi mkora!? nikamkata shavu kwa kumgonga rafiki yake wa karibu sana alipojua mpaka leo sijawahi kusikia pang'ang'a yoyote.
hivyo vingine nadhan ilikuwa vya ziada, ila kubwa ni mwanaume suruali. Angekupa pesa usingemwacha
ok, nilijua hizo ni sabab za kubreakup na mtu mmoja, yaan nimependa ulivyokuwa mkwel kwa kutaja sabab za kuachana ma x wakoUtahadhirika ndugu hao ni wapenzi wangu 6 !