Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

mi nliachana na mwanamke nliekuwa nae mwanzoni coz mlikuwa mkiwa kwenye game yan tangu mnapoanza shughuli mpaka mnamaliza yeye ni kuachia mashuzi tu, mh nikaona huyu atakuja kuninyea bure siku moja ikabid nimpige chini
[emoji23][emoji23]
 
wanawake wengi sana waliniacha pasipo sababu za msingi na wengi wao ni tama ya vitu vizuri
wengine waliondoka na sasa wamerudi najipigia tu natulia wengine ndo ivyo wanajutia

ila kwa upande wangu nimeumizwa sana na mapenzi ila sikuizi napiga na kupiga chini
 
"Kuna mchongo nauskilizia" hii kauli ilinipeperushia dem hivihivi. Dah umaskini mbaya
 

Nyumba ulopanga ilimtisha akahisi invoice zako zitampasua kichwa [emoji23][emoji23]

Ila alikosea kuaga mashindano kabla ya kuichakata mbususu
 
Ulionyesha ufala kumpa hiyo hela
 
mi nliachana na mwanamke nliekuwa nae mwanzoni coz mlikuwa mkiwa kwenye game yan tangu mnapoanza shughuli mpaka mnamaliza yeye ni kuachia mashuzi tu, mh nikaona huyu atakuja kuninyea bure siku moja ikabid nimpige chini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…