Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Huyo mnyakyusa wa kwanza kusikiaanataka mnyakyusa mwenzake!!!
 
Asee eroo kama ni hivyo uli react vizuri...poa haina pang'ang'a but ile kikawaida utakua unaumia ile kisoro asee...anyway uko wapi tupeane angalau kirikuu cha safari maana na mimi nina maumivu ki keii yaani...Njoo Usa riva joooh
Saizi nipo joto city arif. Of course nilipataga wenge flani baada ya hiyo makitu kutokea maana walinikata stimu na nlikua namsarandia huyo manzi mbayaaaa yani kikuzi.

Ila basi maumivu yalikuja kata ado ado niamuona soro tu na yule chalii nae nikamuona ni waki nikatupa kule
Asee eroo kama ni hivyo uli react vizuri...poa haina pang'ang'a but ile kikawaida utakua unaumia ile kisoro asee...anyway uko wapi tupeane angalau kirikuu cha safari maana na mimi nina maumivu ki keii yaani...Njoo Usa riva joooh
 
Kwanza alikuwa mpole sana nikadanganyika na upole wake kumbe ni Malaya hakuna mfano hanywi pombe lakini kazi yake kutembea na barmaids nilimvumilia kwa kuwa nampenda lakini siku hiyo alinichosha alipotaka tujaribu mlango wa nyuma ilibidi nitafute njia ya kutokea
 
mimi tuliachana kwa sababu nilimwambia rafiki wangu wa kiume kwamba nimemgegeda na uyo rafiki yangu akaambia wengine adi ikamfikia yeye tukashindwanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…