Huyo mnyakyusa wa kwanza kusikiaanataka mnyakyusa mwenzake!!!Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.
Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.
Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.
Saizi nipo joto city arif. Of course nilipataga wenge flani baada ya hiyo makitu kutokea maana walinikata stimu na nlikua namsarandia huyo manzi mbayaaaa yani kikuzi.Asee eroo kama ni hivyo uli react vizuri...poa haina pang'ang'a but ile kikawaida utakua unaumia ile kisoro asee...anyway uko wapi tupeane angalau kirikuu cha safari maana na mimi nina maumivu ki keii yaani...Njoo Usa riva joooh
Asee eroo kama ni hivyo uli react vizuri...poa haina pang'ang'a but ile kikawaida utakua unaumia ile kisoro asee...anyway uko wapi tupeane angalau kirikuu cha safari maana na mimi nina maumivu ki keii yaani...Njoo Usa riva joooh
Hapana nilishapanda mtiSo uko single
Ukiona kachelewa njoo badala yakeusichelewe
Ha haaaaaa. Ukisikia paaaaaaaa!!# hakuna ubishi una kibamia.pengine na wewe una bwawa la kuvulia samaki na yeye anakufichia siri
Ha ha ha kuna principle moja ya bwana Newton anasema "To every action there is equal and opposite reaction"
hapana kwakweli[emoji144]Umemuelewa lakini
Haaaaaa mti?Hapana nilishapanda mti
Mmmh jamn hebu thibitisha bas hay maneno yakNi demu wa Tanga nini au Kigoma...maana hawa ndiyo zao hizi.
Njoo usa riva...kama hutaweza nitafute ijumaa nitakua free kuanzia saa saba joohNiaje jombaa nipo hapa kwa matejoo chalii angu
Hilo ni janga la kitaifaUsaliti
Wewe unataka kupewa lakini kutoa wewe unaanza kulalama mizingaVizinga
Angenisumbua mkuuHatariiii sana Unge lala nae mbele
Aiseeehapana kwakweli[emoji144]
Oi chalii ya tejoNiaje jombaa nipo hapa kwa matejoo chalii angu
Nilitemaga long time asee kama taksima ya veveAlikuletea umbwira huyo chaliaraa....temana naye Bablai. [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa kwa hiyo mimi ndio huyo rafiki yako au??Ha haaaaaa. Ukisikia paaaaaaaa!!# hakuna ubishi una kibamia.
mimi tuliachana kwa sababu nilimwambia rafiki wangu wa kiume kwamba nimemgegeda na uyo rafiki yangu akaambia wengine adi ikamfikia yeye tukashindwanaaMambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.
Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.
Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.