mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
mkuu,si ungemuonjesha tu.Kwanza alikuwa mpole sana nikadanganyika na upole wake kumbe ni Malaya hakuna mfano hanywi pombe lakini kazi yake kutembea na barmaids nilimvumilia kwa kuwa nampenda lakini siku hiyo alinichosha alipotaka tujaribu mlango wa nyuma ilibidi nitafute njia ya kutokea
najua alikuwa hakup hela [emoji3][emoji3][emoji3]1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
wachaga unawasingizia...nimezaliwa uchagani na nimekulia uchagani lkn kule hakuna mambo ya ushirikina mkuu.Kuthibitisha ni story ndefu ila ukweli ndiyo huo....toka niko mdogo Mama alikuwa ananiambia mademu wa kuwaepuka, Wachagga, mademu wa Tanga, Kigoma. Baada ya kukua na kuona matukio nimeamini maono ya Mama kipenzi.
Rubi wewe haya tu, mungu anakuona ujue1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
haumtafunagi?nilitumia ujana na balehe yangu vibaya matokeo yake nikawa na watoto kama paka na kila mmoja alikuwa na mama yake,nikaja kupata mpenzi miaka ya 2000 mwanzon alipogundua nina watoto watatu na kila mmoja akiwa na mama yake akaniacha.....sijawah kumlaumu kwa kuniacha kwake na mpaka leo tupo kalibu kama friends!!!!!!!!!`
Hapana!!! Hakua mkweli!!! Sikumuamini... Yaani ni yule mtu akikwambia kumekucha inabidi uchungulie nje kuhakikisha.Unapiga ramli
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nishakutan nao maduu wa hivo huwa napunguza appetit tu bac nakucha pole xanaaDemu Wangu mie alizidi uchafu wa sehemu za siri na alikuwa hapendi kujituma. Hapendi kufanya kazi, lazy, mbea, kila kukicha yuko facebook na Insta kujibandika mapicha wakati hana issue yeyote. Anaweza piga mswaki sasa hivi, baada ya dakika 10 huwezi ongea naye jinsi anavyotoa harufu kama vile kala mavi.
Halooo wewe ni mukenya au chalii Wa ngongongare(ngurdoto)?Mimi msela alinichukulia alafu ni chalii wangu wa tokea utotoni asee.
Kumuuliza chalii siunajua huyu manzi ni wangu eroo? Akajibu
"Manzi kanikubali mwenyewe chalii"
Ikabidi nijikate tu alolo nikajiona fara ila manzi akaanzanga leta shobo baada ya muda nikaona huyu hajui kama mimi mkora!? nikamkata shavu kwa kumgonga rafiki yake wa karibu sana alipojua mpaka leo sijawahi kusikia pang'ang'a yoyote.
Mkuu vuka juu huku tuungane kuwaona watoto Wa kisabatoAsee eroo kama ni hivyo uli react vizuri...poa haina pang'ang'a but ile kikawaida utakua unaumia ile kisoro asee...anyway uko wapi tupeane angalau kirikuu cha safari maana na mimi nina maumivu ki keii yaani...Njoo Usa riva joooh
Hahahaa..... Dah. Ndio mzuri huyo umemjua. Sio wale unawaamini halafu kumbe hamna kituHapana!!! Hakua mkweli!!! Sikumuamini... Yaani ni yule mtu akikwambia kumekucha inabidi uchungulie nje kuhakikisha.
Hongera.1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
Hahaha ha ha niaje Jah upo fasi ipiOi chalii ya tejo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alilewa akajinyea bar nikamuacha toka siku hyo akaniacha eti sikumpenda wakati wa dhiki