robstunner
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 225
- 195
Kicheche festklas [emoji1487][emoji855]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba 6 tu ndio ilikufanya umuache! Haya mengine ni nyongeza tu!
Yaani tabia zote hizo alikua Nazo na bado ulikua unampa!? Lol wanawake sie tuna moyo sana
utakuwa na matatizo sio bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au alitembelewe mtaroni
[emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au alitembelewe mtaroni
Aliniambia kuwa sijawahi kumkosea hata kidogona anajua kuwa nampenda sana kuliko chochote ila ameamua kuwa na mwanamke anaempenda zaidi kuliko mimi....It was very painful to me but I had to accept the fact for the sake of his happiness.
Alinyonya nini???Alininyonya
Manzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.
[emoji23][emoji23]Mimi ilikuwa kutwa mara 3,Angenizeesha yule aisee! Alikuwa hataki kabisa niende kazini.....Usiku ndio kabisaaa,sijui alikuwa jini mahaba yule.
Manzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.
Aisee seriously unapigwa zama hizi za radical feminist movement?Kupigwa kila tukigombana so nikaona isiwe ishu asije niharibu reception bure then hakua na malengo ya kunioa