Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Nataja ninazokumbuka

- Kuna aliejazwa hofu na wachungaji wa kilokole kuhusu mapenzi kabla ya ndoa kufunga maisha ya mtu. Hapo tayari tushakuwa having sex kwa zaidi ya mwaka ndio analeta habari hizo ongeza na nilikataa kumpa mil kadhaa kwa ajili ya biashara yake nilivyoona analeta maluweluwe.

- Kuna wa vibomu kila siku chache.

- Kuna wengine walikuwa binti wazuri tu ila nikaachana nao nisiwapotezee muda kwani wanataka marriage na mimi hilo silioni bado.

- Kuna mmeru mmoja huyu kwa kweli alinitingisha mimi. Ilibidi nipate therapy maana dah. Hadi leo najiulizia ni mimi yule wa kukosa usingizi kisa msichana dah! Haha

- Wengine wa short term na kuchokana tu so unapotea katika picha taratibu bila ugomvi.
 
Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.

Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.

Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.h

Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.

Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.

Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.
He was a notorious cheater
 
Me nlikua na jamaa mmja basi siku kaja nyumbani kwangu tukala akasepa.....badae akanitumia sms ety me siwezani na mm kwanza hatuendani we mwenzangu umepanga nyumba kubwa siwez hata kukulipia pesa ya kodi miez minne......eeh nkasema lahaula lakwata

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app

Hii imenichekesha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.

Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.

Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.
mi nliachana na mwanamke nliekuwa nae mwanzoni coz mlikuwa mkiwa kwenye game yan tangu mnapoanza shughuli mpaka mnamaliza yeye ni kuachia mashuzi tu, mh nikaona huyu atakuja kuninyea bure siku moja ikabid nimpige chini
 
mi nliachana na mwanamke nliekuwa nae mwanzoni coz mlikuwa mkiwa kwenye game yan tangu mnapoanza shughuli mpaka mnamaliza yeye ni kuachia mashuzi tu, mh nikaona huyu atakuja kuninyea bure siku moja ikabid nimpige chini
[emoji23][emoji23][emoji119]
 
mi nliachana na mwanamke nliekuwa nae mwanzoni coz mlikuwa mkiwa kwenye game yan tangu mnapoanza shughuli mpaka mnamaliza yeye ni kuachia mashuzi tu, mh nikaona huyu atakuja kuninyea bure siku moja ikabid nimpige chini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aisee itakuwa alikuwa analiwa tgo
 
Me nlikua na jamaa mmja basi siku kaja nyumbani kwangu tukala akasepa.....badae akanitumia sms ety me siwezani na mm kwanza hatuendani we mwenzangu umepanga nyumba kubwa siwez hata kukulipia pesa ya kodi miez minne......eeh nkasema lahaula lakwata

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app

Wakati ulitegema akurushe maji kidogo
 
Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.

Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.

Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.
Ukiwa umewaacha kama 100 hivi? nA Hakuna cha kukumbuka?
 
kaka nilimchunguza mpaka tigo wala hakuwa analiwa ila sas ni alikuwa anajamba huyo nyenyere akasome
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee hatari sanaa
 
Back
Top Bottom