GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ogopa sana Kifaru mwenye Hasira Kali za Kujeruhiwa aliyemkuta Simba aliyebweteka kwa Kujiamini baada ya Kushiba kiasi kwa Kitoweo dhaifu cha Misitu ya nchini Niger.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili ya Mvua Siku zote huwa ni Mawingu.Makolo ni bora mlivyoacha kuwa na matokeo mfukoni kwenye game hii.
Kwani ujaenda kufanya umafia wako wa kuwafunga miguu wachezaji wa berkane? Au umafia uwa unaufanya kwa mkapa tu mkuu? Nafikiri wangekuandalia bajeti yako na wewe uwe unasafiri nao kufanikisha mambo kama ayo maana ndo nguvu mliyobaki nayo kutegemea kubustiwa na nguvu za giza🤣🤣🤣🤣Ogopa sana Kifaru mwenye Hasira Kali za Kujeruhiwa aliyemkuta Simba aliyebweteka kwa Kujiamini baada ya Kushiba kiasi kwa Kitoweo dhaifu cha Misitu ya nchini Niger.
Ile Taharuki na mauaji yalikuwa yakifanyika Libya, Iraq na Afrighanstan mambo mengine yalikuwa hayaendelei na kujadiliwa? Sisi tunasuburi Biriani la Simba SC..Huko wacha wauane tu vita mbona tamu yaani..!Hivi mnapata wapi guts za kujadili mpira na dunia iko kwenye taharuki ya kinachoendelea Ukraine..[emoji1787][emoji1787]
Ila leo mmmh..tuombe tu MunguIle Taharuki na mauaji yalikuwa yakifanyika Libya, Iraq na Afrighanstan mambo mengine yalikuwa hayaendelei na kujadiliwa? Sisi tunasuburi Biriani la Simba SC..Huko wacha wauane tu vita mbona tamu yaani..!
Umeingia www.weather.com kuona hali ya hewa ikoje huko?Ogopa sana Kifaru mwenye Hasira Kali za Kujeruhiwa aliyemkuta Simba aliyebweteka kwa Kujiamini baada ya Kushiba kiasi kwa Kitoweo dhaifu cha Misitu ya nchini Niger.
Naamini siku zote mpira ni dakika 90 na lolote linaweza kutokea kwani hata wao si kwamba wanaona mechi hii ni rahisi...la hasha.Ila leo mmmh..tuombe tu Mungu
Kama wale vibonde walipata magoli ugenini kwanini sisi tushindwe.Naamini siku zote mpira ni dakika 90 na lolote linaweza kutokea kwani hata wao si kwamba wanaona mechi hii ni rahisi...la hasha.