Watu wameamua kuua wenzao na wamepata mashabiki uchwara Tanzania ambako wanajisifu kupenda Amani? Halafu unataka Sisi tuache kushabikia soka wakati mashabiki wa Vita Wanakula Raha.
Hala hala...Wawa asianze hii game atakuja kuchomesha vibaya.Hawa wamorocco wanakimbia kwa kasi sana na kwa jinsi ninavyomjua wawa ni wazi atakuja kuchomesha