Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeekuna kocha anajisomea aweze kupata leseni ya kumruhusu kukaa kwenye benchi la ufundi angalao januari
Hii taaarifa iwafikie SAGAI GALGANO, NAWATAFUNA, na wengineo wengi!Barbara alimtafuta si kwasababu ana leseni Ila alimpenda kwakua kafanana na Chuck Norris.
Na anasomea online hahahaha hapa tumepigwa, yaani unachukua kocha ana elimu sawa na kocha wa KMKM
Ili iweje mkuu😂😂😂Kuna haja ya Aden Rage kufuta kauli yake
Sawa Rais wa TFF na kamati yako tendaji ila hili la makocha wa kuchezesha daraja la kwanza kuja Kuchezesha ligi kuu kwenye ligi mliaangalie upyaNa huyo huyo Kocha ndiyo kawabeba Wanaume wazima mkasubiri kubebwa kama Watoto yatima na Kocha wenu mwenye uprofesa wa kina Maji Marefu
WeBarbara alimtafuta si kwasababu ana leseni Ila alimpenda kwakua kafanana na Chuck Norris.
Itakuwa amefeli mitihani aliyopewa na CAF ndo maana cheti hakijatoka, coz anaonekana ana kichwa kigumu cha kuelewaHuyo kocha alishasomea hiyo kozi anachosubiri ni hicho cheti tu, kwenye game za CAF atakuwepo kwenye benchi.
E. Kamwaga.