Naona mmefurahi sana meno njeHii taaarifa iwafikie SAGAI GALGANO, NAWATAFUNA, na wengineo wengi!
Baada ya kuona makocha wote hawana vigezo vya kukaa kwenye benchi la timu Champions leagueNaona mmefurahi sana meno nje
Mkuu aliyetambulishwa ni kama msaidizi kwenye mechi atakaa kwenye benchi la ufundi kama kocha mkuu halafu Gomes anakuwa msaidizi ,wote watakwepo kwenye bench Gomes atakaa kama msaidizi maana kuwa kama msaidizi vyeti vinaruhusuBaada ya kuona makocha wote hawana vigezo vya kukaa kwenye benchi la timu Champions league
Kocha mpya msaidizi katambulishwa pale Msimbazi ambaye atakuwa kwenye Bench la timu wakati Gomez yupo jukwaani
Matola ameenda shule tena
Huyohuyo kocha ndio aliyewabeba kwa mbeleko utopolo.
La sivyo mngecheza shirikisho, ligi ya watoto.
mpelekeni Chuck Norris shule nyie memkwaHata aibu hawaoni,na Jumapili wanakwenda kututia aibu ya mwaka kwa kipigo cha haja kutoka kwa Rivers
Gomez apelekwe shule sasaMkuu aliyetambulishwa ni kama msaidizi kwenye mechi atakaa kwenye benchi la ufundi kama kocha mkuu halafu Gomes anakuwa msaidizi ,wote watakwepo kwenye bench Gomes atakaa kama msaidizi maana kuwa kama msaidizi vyeti vinaruhusu
UsiforceGomez apelekwe shule sasa
Hahahahha ππππUsiforce