Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Baki kuwa mpenzi mtazamaji tu inatosha......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha ashuke halafu atembee mpaka kibamba au?😂Buku 2 na kuomba namba vinahusiana vipi, ungeshuka tuu ujaribu bahati yako.
Kick ya kuanzia ameanza nayo vizuri ila kafeli mwishoni kabisaUngeshuka tu sasa unateseka moyo kisa nauli ya mwendokasi kutoka Korogwe hadi Kimara? Hata kama nauli ya kwenda huko Matosa ingepungua sio mbaya ungetembea kwa mguu kutoka Korogwe hadi Kimara maana ni karibu tu lakini namba ungekuwa nayo.
Ila mzee wewe muoga sana. Na pakuanzia ulishapata ila umezembea sana.
Nafikiri haifiki km 20 hizo unatembea tu tena ukifanikiwa kuipata namba unakuwa una hamasa mbona unafika tu, shida ni namba uikose uanze msoto wa kurudi 🐒Hahahaha ashuke halafu atembee mpaka kibamba au?😂
Extrovert utanilaum sana maana alikuwa kachoka sana muda mrf alikuwa anasinzia..hesabu zangu zilikuwa kama angekuwa anaenda mbezi pale Kimara mwisho tungesumbuana sana. Ila nimeshamkariri. Ni mzuri sana.Kick ya kuanzia ameanza nayo vizuri ila kafeli mwishoni kabisa
Hahahahaha ametoka kushughulikiwa huyo😂 na wewe ulitaka umshughulishe tena?Extrovert utanilaum sana maana alikuwa kachoka sana muda mrf alikuwa anasinzia..hesabu zangu zilikuwa kama angekuwa anaenda mbezi pale Kimara mwisho tungesumbuana sana. Ila nimeshamkariri. Ni mzuri sana.
Hahahahah usifanye masihara kutembea 20KM na jua la utosi😂😂😂Nafikiri haifiki km 20 hizo unatembea tu tena ukifanikiwa kuipata namba unakuwa una hamasa mbona unafika tu, shida ni namba uikose uanze msoto wa kurudi 🐒
Anajifanya anajog........🤣🤣Nafikiri haifiki km 20 hizo unatembea tu tena ukifanikiwa kuipata namba unakuwa una hamasa mbona unafika tu, shida ni namba uikose uanze msoto wa kurudi 🐒
Ukishapata namba zoezi la uchakataji linakuwa limekamilika kwa zaidi ya 50% ile hamasa 20 KM inaisha ukijiona unachoka unapiga picha jinsi utakavyoichakata utatembelea hata magoti ilimradi ufike🤣Hahahahah usifanye masihara kutembea 20KM na jua la utosi😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Ukishapata namba zoezi la uchakataji linakuwa limekamilika kwa zaidi ya 50% ile hamasa 20 KM inaisha ukijiona unachoka unapiga picha jinsi utakavyoichakata utatembelea hata magoti ilimradi ufike🤣
Hapo umepatia, mimi siku zote mguuni huwa navaa raba tena zenye soli nzuri kwa mazoezi, kuna kipindi nilikuwa sina nauli basi ikifika jioni nazuga nafanya mazoezi...mdogo mdogo unafika😁Anajifanya anajog........🤣🤣
Wanaume tuna kazi sana,hawa viumbe hawajui tu
Kwa dsm rahisi sana, mtu anaweza kukuona Manzese akajua labda unaenda tu urafiki, wa urafiki akajua unaingia ubungo plaza mara moja....kumbe ni safari ya Kimara hiyoHapo umepatia, mimi siku zote mguuni huwa navaa raba tena zenye soli nzuri, kuna kipindi nilikuwa sina nauli basi ikifika jioni nazuga nafanya mazoezi...mdogo mdogo unafika😁
Yani boyfriend wako anakwambia weka laini ya airtel akupigie. Sasa kwenye harusi yenu tutashiba kweli?[emoji23][emoji23]Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya
Sasa kama kuna unafuu wa kuwasiliana haujui km unapunguza gharama.Yani boyfriend wako anakwambia weka laini ya airtel akupigie. Sasa kwenye harusi yenu tutashiba kweli?[emoji23][emoji23]