Leo kwenye Mwendokasi, Mwanadada Askari Polisi ameuteka Moyo wangu. Sijui nitampata vipi?

Leo kwenye Mwendokasi, Mwanadada Askari Polisi ameuteka Moyo wangu. Sijui nitampata vipi?

Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.

Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya njoo ukae.
Kwa hiyo Mndengereko wa Mchukwi ukala kwa macho tu!
 
Huyo mfanyakazi wa kampuni ya cocacola unasema polisi kisa kavaa dakbluu??
 
Kwa dsm rahisi sana, mtu anaweza kukuona Manzese akajua labda unaenda tu urafiki, wa urafiki akajua unaingia ubungo plaza mara moja....kumbe ni safari ya Kimara hiyo

Hahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah nimecheka sana....au ni safari ya kibaha kabisa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] this is daresalam
 
Ungeshuka Korogwe na kumdhibiti asitoke ndani kituo na wew uchukue namba huku usubiri mwendokasi nyngine
 
Back
Top Bottom