wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Nawe pia kakaUsiku Mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe pia kakaUsiku Mwema
😆😆 fala kwel wewe.Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya
Mjumbe ametupiga nakitu kizito😂😂😂😂Hahahaha ashuke halafu atembee mpaka kibamba a
Kick ya kuanzia ameanza nayo vizuri ila kafeli mwishoni kabisa
A see nimechekaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya
Ukweli huyu Askari ni mzuri sana. Kama yoyote anayemjua mfikishie salaam. Undugu ni kusaidiana.
Wewe...kwenye daladala WAHUNI huwa tunaandika meseji kwenye simu then tunampa muhusika asome..akikataa kutoa namba inakuwa kimya kimya..imetoka hyoLeo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile
Hayo mambo nilishaona mtu katupiwa simu yake nje ya Bus.Wewe...kwenye daladala WAHUNI huwa tunaandika meseji kwenye simu then tunampa muhusika asome..akikataa kutoa namba inakuwa kimya kimya..imetoka hyo
Then kumbuka zaidi ya asilimia 50% ya mawasiliano ya binadamu ni NON VERBAL
So hii njia katka attemp zangu zote...nimefel haifiki mara 5...ila hao madem waliokataa sikutaka kukaza tu..mm sinaga huo mda...demu akizingua instant nampotezea..Wewe...kwenye daladala WAHUNI huwa tunaandika meseji kwenye simu then tunampa muhusika asome..akikataa kutoa namba inakuwa kimya kimya..imetoka hyo
Then kumbuka zaidi ya asilimia 50% ya mawasiliano ya binadamu ni NON VERBAL
Mbona sijawahi muona hicho ni kituo changu siku zoteHuyu alitoka job maana alipandia pale Johari hotel.
Huyu ni mwembamba mweupe ana vichunusi usoni jana alikuwa kavaa ushungi. Ila ukitaka Wanawake wazuri kashangae pale Shekilango jioni zinashuka za maana zinaenda Sinza.Mbona sijawahi muona hicho ni kituo changu siku zote
Ila kuna pisi ina sifa zote ulizo taja huwa inakua pale kivukoni jioni hiviii
Anaye randa randa Kivukoni ni mnene kiasi mweupee mrefu, Pinni ya maana.Huyu ni mwembamba mweupe ana vichunusi usoni jana alikuwa kavaa ushungi. Ila ukitaka Wanawake wazuri kashangae pale Shekilango jioni zinashuka za maana zinaenda Sinza.
Mnene hapana sio huyu.Anaye randa randa Kivukoni ni mnene kiasi mweupee mrefu, Pinni ya maana.
Zinaenda kwenye biashara ya usiku sio [emoji1][emoji1]Huyu ni mwembamba mweupe ana vichunusi usoni jana alikuwa kavaa ushungi. Ila ukitaka Wanawake wazuri kashangae pale Shekilango jioni zinashuka za maana zinaenda Sinza.
Kituo hakiitwi Johari Rotana Hotel kinaitwa Jiji au City Council alipopandia huyo bibie.Huyu alitoka job maana alipandia pale Johari hotel.
Nalitambua hilo. Hicho kituo kinaitwa jiji. Kuna sehemu wanauza chips kwenye chemba ya choo. Kuna kibar hapo kipo sambamba na choo.Kituo hakiitwi Johari Rotana Hotel kinaitwa Jiji au City Council alipopandia huyo bibie.
Kesho wahi mapema utulie hapo kwenye jengo la Avalon Sinema ukimsubiri.
Sawa sawa hapo ni meeting point sio kibar, hapo travellers ndio ufanya mipango ya safari. Bia watu Wanakunywa muda wowote,supu,nyama choma na burudani. Kesho ukae nje ukishangaa wasafiri wa Kwenda na kurudi kutoka Zenji mpaka umpate huyo asali wa moyo wako.Nalitambua hilo. Hicho kituo kinaitwa jiji. Kuna sehemu wanauza chips kwenye chemba ya choo. Kuna kibar hapo kipo sambamba na choo.