Leo kwenye Mwendokasi, Mwanadada Askari Polisi ameuteka Moyo wangu. Sijui nitampata vipi?

Leo kwenye Mwendokasi, Mwanadada Askari Polisi ameuteka Moyo wangu. Sijui nitampata vipi?

Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.

Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya
Sasa ulishindwa nini kushuka hapo korogwe?
 
Ningekuwa mie ningeshuka kuchukua no na nauli ningemkopa
 
Ngoja na mm niwe napanda mwendokac
 
Bora wewe ulimuona wakati anashuka ila mimi kuna siku nilipitiwa na usingizi wakati nataka kuomba namba ile kuamka amekaa babu wa samaki.Usingizi noma
Jf never boring[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.

Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya njoo ukae.

Akakaa tukataniana kidogo akashukuru sana, akasema "umejuaje kama nimechoka?" Nikamwambia kujidekeza tu akasema hajalala toka jana nikamuuliza upo ofisi gani akajibu tambua tu sikulala. Nikajinyamazia maana kweli alikuwa amechoka.

Kumchunguza nikaona suruali aliyovaa ya dark blue nikajua huyu ni Askari polisi. Nikashindwa hata kuomba namba si unajua kwenye Mwendokasi hakuna faragha nikasema huyu akishuka tu Kimara ninae eeeh akashukia Korogwe. Nikawaza Mdengereko mie mfukoni nina buku mbili ya kunipeleka Matosa.

Nikamsindikiza kwa macho tu akavuka barabara upande wa Korogwe kama unaenda Mbezi.

Ukweli huyu Askari ni mzuri sana. Kama yoyote anayemjua mfikishie salaam. Undugu ni kusaidiana.
Hahaha ungenambia nikamsubirie tu hapa korogwe mkuu kwann uteseke hv.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ungeshuka tu sasa unateseka moyo kisa nauli ya mwendokasi kutoka Korogwe hadi Kimara? Hata kama nauli ya kwenda huko Matosa ingepungua sio mbaya ungetembea kwa mguu kutoka Korogwe hadi Kimara maana ni karibu tu lakini namba ungekuwa nayo.

Ila mzee wewe muoga sana. Na pakuanzia ulishapata ila umezembea sana.
Akaonea ubahili wa mia nne tu jamani[emoji26][emoji26] mimi tu natoka home nakimbia mpk mbezi na kirudi yeye kashindwa tembea mpk hapo mwisho? Hajampenda huyu... ila wanawake wa depo nasikiaga wanagawaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Bora wewe ulimuona wakati anashuka ila mimi kuna siku nilipitiwa na usingizi wakati nataka kuomba namba ile kuamka amekaa babu wa samaki.Usingizi noma
Unakuta samaki wanakichoma miiba[emoji23][emoji23] ndo sababu sipendi za kivukonio.. huulizi hilo shombo lake

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.

Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya njoo ukae.

Akakaa tukataniana kidogo akashukuru sana, akasema "umejuaje kama nimechoka?" Nikamwambia kujidekeza tu akasema hajalala toka jana nikamuuliza upo ofisi gani akajibu tambua tu sikulala. Nikajinyamazia maana kweli alikuwa amechoka.

Kumchunguza nikaona suruali aliyovaa ya dark blue nikajua huyu ni Askari polisi. Nikashindwa hata kuomba namba si unajua kwenye Mwendokasi hakuna faragha nikasema huyu akishuka tu Kimara ninae eeeh akashukia Korogwe. Nikawaza Mdengereko mie mfukoni nina buku mbili ya kunipeleka Matosa.

Nikamsindikiza kwa macho tu akavuka barabara upande wa Korogwe kama unaenda Mbezi.

Ukweli huyu Askari ni mzuri sana. Kama yoyote anayemjua mfikishie salaam. Undugu ni kusaidiana.
😆😆😆
 
sasa si ungeshuka nae umuombe namba na nauli poti mbona mzito
 
Back
Top Bottom