Kwa hiyo Mndengereko wa Mchukwi ukala kwa macho tu!Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya njoo ukae.
Huyu alitoka job maana alipandia pale Johari hotel.Hahahahaha ametoka kushughulikiwa huyo[emoji23] na wewe ulitaka umshughulishe tena?
Nenda ukakutane na kingai na mahita uadabishwe vizurWeka picha hapa ndio nitaamini. Halafu yule hajaolewa acha kesho niende central
Sawa kuna lingine unalojua zaidi ya hiliHuyo mfanyakazi wa kampuni ya cocacola unasema polisi kisa kavaa dakbluu??
Penye nia pana njia mkuuNdugu jua la saa 7 nikate mbuga mpaka Matosa hapana.
Kama unavyoanza kupenda weusi. Huyu poti kanivurugahivi uwa mnaanza kupata hisia vipi za kuwapenda wadada weupe?. [emoji22][emoji22]
kumbe!!.Kama unavyoanza kupenda weusi. Huyu poti kanivuruga
Daah kila mtu na hitaji lakekumbe!!.
mi, uwa nahisi kunahitaji Busta fulan ya kubust hisia ndiyo uwapende bidadaz whites.
Then from Korogwe to kimara angefikaje ili aende huko sijui MatosaBuku 2 na kuomba namba vinahusiana vipi, ungeshuka tuu ujaribu bahati yako.
Hapana brazaSawa kuna lingine unalojua zaidi ya hili
Usiku MwemaHapana braza
Kwa dsm rahisi sana, mtu anaweza kukuona Manzese akajua labda unaenda tu urafiki, wa urafiki akajua unaingia ubungo plaza mara moja....kumbe ni safari ya Kimara hiyo